Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Ubunifu umewajaa, noma ni pale utakapo kutana na mama mkwe wako ukiwa kwenye hicho kivaziwanungu bana...utadhani vichaa
Ubunifu umewajaa, noma ni pale utakapo kutana na mama mkwe wako ukiwa kwenye hicho kivazi
Borat!!
jamaa kaumbika huyoooooo
haha hahah hahhahahahhivi wale komedi wetu walikoua wanajipaka mikaa na kitembea mitaani wakoo wapi siku hizi, huyu angejiunga nao
ulaya hakuna aibu kwa mama mkwe!!!haina shida,na tanzania hilo vazi litavaliwa dar,huku nako mama wakwe wamekuwa wa mjini hivyo hakuna noma,tupia kitu Bujibuji!Ubunifu umewajaa, noma ni pale utakapo kutana na mama mkwe wako ukiwa kwenye hicho kivazi