Chinga boy
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 412
- 101
Salamu wana Jf. Ningependa niwajuze kidogo kuhusu ili vazi lilivyoshuka uthamani hasa maeneo ambako ndio ngome za waislam.nimebahatika kutembea sehemu kubwa ya Tz kwa kazi zangu za minara ya cm lkn nilikuwa sijapata nafasi ya kufika Tanga na kule Pemba.nilipokuwa mikoa ya bara nilikuwa nawaheshimu sana hawa w'ke wanaovaa hijab na wao wanajiheshimu .sasa nimehamishiwa Tanga nashanga kuona demu ametinga hijab yuko counter amekamata ndovu baridi na wengine wanatinganayo guest.NAOMBA AKÌNA DADA MUBADILIKE