Mkuu unajua kuchamba kwa kidhungu hadi nimetamaniThats why the fags won't make it further...
Sasa unaringia degree ya chuo cha kata China?
BTW... Hawa wasanii inabidi wajifunze public relations and marketing......
Huo upuuzi wa kujisifia hata ukipanda ndege tayar umeshaua bongo Muvie na sasa unainyemelea tasnia two, yet wanangaa macho tu.....
Hawajiulizi soko lao la muziki ni lipi na wanauza product ipi, hilo Wala hawajali.....
Jux, V money, with all the due respect, pls grow up...... Use your talents to change the game...... Mashabiki uchwara hawawasaidiii lolote.....
C'mon guys, find some quality geeks out there, who can buy your works
Mwanamuziki Juma Jux ukipenda muite African Boy, leo amehitimu masomo yake nchini China ambapo ametunukiwa Shahada ya Awali (Bachelor Degree) katika masomo ya Sayansi ya Kompyuta (Computer Science) kutoka Chuo Kikuu cha Guangdong nchini China.
Kwa muda mrefu watu mbalimbali wamekuwa wakihoji kuwa Jux anafanya nini China huku wengine wakidiriki kusema kuwa alikuwa akijihusisha na biashara ya dawa za kulevya kwa sababu hawakuwahi kuona hata picha yake akiwa darasani ili kuthibitisha aliyokuwa akiyasema kuwa anasoma.
Akiandika katika ukurasa wake wa Instagram, Jux amesema kuwa katika miaka minne aliyokuwa akisoma alikumbana na vikwazo vingi ambavyo vilikaribia kumkatisha tamaa lakini baadhi ya watu walimtia moyo na leo amehitimu.
Mbali na Jux, mpenzi wake, Vanessa Mdee ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram akimsifia kuwa afadhali amemaliza na picha zake sasa zimeonekana kwa sababu watu walikuwa wakiuliza maswali mengi kuwa anafanya nini China.
“Congratulations @juma_jux U finally done and you done did it well. Hapo watu walikuwa wakiombaga picha za wewe darasani nadhani hii picha jibu la kutosha.”
Mbali na hilo, Vanessa amempongeza Jux kwa kufanikiwa kufanya kwa pamoja, muziki, biashara na bado akaweza kuzingatia masomo yako jambo ambalo huwashinda watu wengi.
kwa hiyo hiyo course ndio kasoma miaka 9? au alikuwa anarudia rudia.....?
“Umeweza kufanya yote, MZIKI, BIASHARA NA SHULE… now that’s exceptional. Muda wa vibunda babaaa. Keep inspiring the YUTEEEEE
nilisoma sehemu ati vanesa hana kitu nta ila joto jingi afu pangaboi la kumwaga,nimenuwia kumpataNilijua sredi ya miaka ya nyuma kumbe ni mpya kabisa,Hongera kwa kurudiana na Jux.
you nailed it broThats why the fags won't make it further...
Sasa unaringia degree ya chuo cha kata China?
BTW... Hawa wasanii inabidi wajifunze public relations and marketing......
Huo upuuzi wa kujisifia hata ukipanda ndege tayar umeshaua bongo Muvie na sasa unainyemelea tasnia two, yet wanangaa macho tu.....
Hawajiulizi soko lao la muziki ni lipi na wanauza product ipi, hilo Wala hawajali.....
Jux, V money, with all the due respect, pls grow up...... Use your talents to change the game...... Mashabiki uchwara hawawasaidiii lolote.....
C'mon guys, find some quality geeks out there, who can buy your works
Acha kuzngua .....chuo cha kata ndo nn ..mbona una wivu wa kingeseThats why the fags won't make it further...
Sasa unaringia degree ya chuo cha kata China?
BTW... Hawa wasanii inabidi wajifunze public relations and marketing......
Huo upuuzi wa kujisifia hata ukipanda ndege tayar umeshaua bongo Muvie na sasa unainyemelea tasnia two, yet wanangaa macho tu.....
Hawajiulizi soko lao la muziki ni lipi na wanauza product ipi, hilo Wala hawajali.....
Jux, V money, with all the due respect, pls grow up...... Use your talents to change the game...... Mashabiki uchwara hawawasaidiii lolote.....
C'mon guys, find some quality geeks out there, who can buy your works
HahahahahVitu vya china si vinajulikana lakin!! .......