Kama title na picha zinavyojieleza, nakodisha kwa short au long term truck yangu kwa shughuli zozote zile hapa Dar na Tanzania kwa ujumla. Truck lipo ktk hali nzuri sana!
Mfano- Katika removal ( kuhamisha mizigo), usafirishaji magodoro, maji packed, stationeries, nguo, vyakula vya kuku, chupa& packages, magazeti, vitabu, madawa na vitu vyote visivyohitaji shurba ya mvua na jua.
Truck ni ya tonne 3.5, ina box body ya fibre material na dereva yupo. Lina vibali vyote.
Tupo Dar - contact 0763 853 801