sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,728
- 11,107
Mkongwe wa uholanzi Van De Vart alitoa kijembe kwa LAMINE YAMAL NASRAOUI EBANA kuwa akiendelea kuvaa ivyo hatofika mbali
Je Kuna uhusiano wowote kati ya mlegezo na kiwango cha mpira
Mimi naona wakongwe wangenyamaza tu kila mtu ana uhuru wake binafsi namuona lamine Huwa anapendeza akivaa ivyo
Na bahati nzuri alimjibu kwa vitendo van de vart alifunga goal Kali na akashangilia kibishoo uku bukta yake ikiwa chini ya matako.
Je Kuna uhusiano wowote kati ya mlegezo na kiwango cha mpira
Mimi naona wakongwe wangenyamaza tu kila mtu ana uhuru wake binafsi namuona lamine Huwa anapendeza akivaa ivyo
Na bahati nzuri alimjibu kwa vitendo van de vart alifunga goal Kali na akashangilia kibishoo uku bukta yake ikiwa chini ya matako.