Fafanua mkuuMsamiati mpya wa bodi ya mkopo wenye kuongeza deni la mnufaika.
Value Retention fee repaid maana yake imeshalipwa lakini wanaiongezea tena kwenye deni.
Wanamahesabu imekaaje hii??
Ukichukua statement utaona kuna VRF uliyolipa kabla tarehe 30 April.Dadavua mkuu.
Wameongezea vipi?