Nguvu ya mapenzi hakika iko mikononi mwa mwanmke.
Sis tunawapenda unless mlioana kwa bahati mbaya.
leo ni siku ya kazi watu hawawezi kunywa tangu asubuhi
Mashabiki wa ndala eti wamegoma kuvaa nguo nyekundu
tukutane kwa mchina
Wanataka tuwapeti ili wasiende kwa micheSasa mkuu unataka upetiwe wewe humpeti mkeo kah si ndo kuchokana huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka tuwapeti ili wasiende kwa miche
Dear naomba nikununulie ata chupa moja ya dompomhhh au itakua ni kwetu tuu huku makao makuu ya chama na serikali nini?
Kwa kweli wasipotujali hapo kwenye majukumu mambo yatakua mazito mno kwetuSasa mama mijengo wana majukumu wote watoke kazini kulea wanaume hawana huruma aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hata bar za jirani nilizozoea kuona watu wanaanzia kunywa asubui leo hawapo kabisa.
Nadhani wanawake tumeweza kuwabana waume zetu leo watawahi kurudi. Au isije kuwa Valentine yao itakua kesho na michepuko yao?? Hii ni danganya toto labda.
Lakini wanaume nao wana akili wanajua leo wale wadangaji watawadanga mpk wakose hela ya supu asubuhi. Kila la heri wanaume wote mnaojali familia zenu na kuona wao ndo wa kwanza wengine badae.
Kwa wale wanaume wasiotulia kama mitungi ya gas ikiwa on basi kazi kwenu kumbukeni wakati ni ukuta.
Naomba anwani yako tujeNjoo ununue kwangu nauza halafu unipe
Apana mapenzi hudum pale wawili wote mnapendana binginevyo mtakuwa mnaigiza tu.Sasa mkuu unataka upetiwe wewe humpeti mkeo kah si ndo kuchokana huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Apana mapenzi hudum pale wawili wote mnapendana binginevyo mtakuwa mnaigiza tu.
Haya mambo yapo lakin. Nasababu ni nyingi mno
Haya mambo yapo lakin. Nasababu ni nyingi mno