hizi siku si zifutwe tu?full matumbo joto.my ex mshua wake alifariki on valentine day so for the past 5 yrs tulikuwa hutusherekei valentine day.kimbembe ni kwamba saa hizi nina mwengine,mi nimemnunulia mkufu na hereni na nitamtoa out ya kishkaji kesho coz siku ya tukio ntakuwa mbali kikazi, asiporidhika achape lapa.
we fanya kile ambacho kipo ndani ya uwezo wako