GYNEOCOLOGIST
Senior Member
- Sep 13, 2016
- 171
- 112
- Thread starter
-
- #41
Wacha kamba ndugu..... Hamna uhusiano wa maambukizi ya hepatitis c or b kwenye Vagina yenye smell au isiyo na smell kwenye kuzama chumvini.
How does poor Vagina odour increase the risk of hepatitis c transmission through oral sex!?
Usidanganye watu
Nenda kwenye hoja ya msingi broda, for further information just google
Mbali ya hayo yote punguzeni makucha bandia ili muoshe maku vizuri,siku hizi karibia zote zina nuka prawns ambapo zamani hali hii haikuwepo au hao bacteria walikuwa wapi na sasa hivi imekuwaje?unakuta mtu ana nuka ferry soko la samaki na huku juu anatetemesha kwa uzuri!!DUH!na wengi wanaonuka prawns ni wa mjini,wa vijijini masura kama Avatar yangu lakini ukienda uvinza raha husikii chochote!Mkuu kama harufu ya mwanamke sio lazima iwe uchafu. Kumbuka ya kwamba wanawake tuna maji ya uke ambayo yapo tu hapo . Kila dakika ambayo ni kawaida "Normal discharge" ambayo huwa ni clear, cloudy white, and/or yellowish ikiwa imekauka kwenye chupi.
Kama hayo maji ya uke hayapo hapo kuna tatizo lingine "Vaginal dryness"
Hayo maji maji ya uke huwa yanabeba "healthy bacteria" wakati mwingine hao bacteria hawako mbalance. Bacteria vaginosis (BV) huwa kunakiwa na harufu kali Kama ya samaki kwenye vagina.
Na hii huwatokea wanawake wengi Sana SIO STD na haihusiana na magonjwa yeyote ya zinaa.
Maana hata mwanamke ambae hana magonjwa ya zinaa na pia hajawahi kufanya mapenzi hii inawatokea.
Ndio maana nimekwambia hapo mwazo sio lazima iwe uchufu maana hata uJisafishe harufu haiondoki yote. Ni kuona tu Dr na kupewa dawa ambayo inasaidia kurudisha hao bacteria kwenye hali ambayo wanatakiwa wawepo.
Vitu kama sabuni za marashi, chupi ambazo Si za pamba, unhealthy food, alcohol, ect vinasababisha hao bacteria kutokua balance.
Na vitu kama kutumia baby wipes instead of toilet paper kunywa cranberry juice, which is a natural antibacterial, kutokuvaa chupi au vaa cotton panties, ku avoid panty hose and tight jeans, kula healthy vegetable-based diet etc vinasaidia mno kuepuka hili tatizo.
Asante
GYNEOCOLOGIST Hili jina mkuu linahusiana vipi na wewe? Kwa mwenye jina hili asingeweza kuanzisha thread kama hii.
Now thats my lil bro. Bravo.Being GYNEOCOLOGIST I thought you would do something rather than put your tail between your legs and leg it!
Sasa hiyo "do something" ulitakiwa uiseme wewe. Kama ungekutana na icho kituko ungefanyaje.Being GYNEOCOLOGIST I thought you would do something rather than put your tail between your legs and leg it!
Sasa atakupataje ku-"confirm" wakati haujampatia "muendelezo"?MKUU TUOMBE RADHI NITAFUTE UJE UTOE USHUHUDA HAPA
Soma ID yake utanielewa kwanini nimesema hivyo.Sasa hiyo "do something" ulitakiwa uiseme wewe. Kama ungekutana na icho kituko ungefanyaje.
Kajieleza vizuri kuwa mazingira ya harufu kali ilimfanya aufyate. Je wewe ungeendelea kudinda wakati saikolojia imeshajeruhiwa?
Jee Ungeanza kwenda chumvini kwanza?
HahahaHuwezi kuamini jana nimelazimika kumkimbia demu hivihivi wakati tulikuwa katika hatua ya kutaka kuduu, kwani wakati tukifanya foreplay pamoja na mambo mengine si nikajaribu kuingiza kidole katika papuchi yake kwa lengo la kusugua gspot kidogo ili kumpa an intense orgasm before inserting my cock.
Ile kuingiza kidole na kutoa mara moja tu nimekutana na harufu ifananayo na kitu kilichooza, kiukweli hali hiyo ilinikata stimu kabisa nimebaki kujiuliza inakuwaje demu mzuri kiasi kile akawa anatoa harufu mbaya namna ile kwenye papuchi yake.
Natoa wito kwa wale wanaopenda kuzama uvinza kuwa they should take precautionary measures kuhakikisha kuwa wenza wao ni wasafi wasiokuwa na maradhi, vinginevyo watakuwa wanajiweka katika risk ya maradhi ikiwemo, hiv, kansa ya koo, magonjwa ya ini n.k.
Na nyie akina dada inakuwaje sehemu muhimu kama hiyo ikatoa harufu kiasi mtu mwingine ndio aje aitambue, sasa uanamke wako uko wapi kama huwezi kuitunza hata papuchi yako. Ajabu iliyoje mtu huyo huyo unakuta anatunza vizuri eneo la nje la mwili wake na kusahau ndani.Take care usafi si nje tu