karibu sana!Asante mkuu, wenye meno waombe
pole...Sina meno
mkuu, mbona una lugha kali sana?Hivi ni lini waajiri wataacha tabia ya kusema a person with not less than 5 years of working experience, pumbavu sasa waliomaliza chuo hivi karibuni mnataka waende wapi, au wewe unayeajiri ulimaliza chuo ukiwa na experience pumbavu zenu!
Hivi ni lini waajiri wataacha tabia ya kusema a person with not less than 5 years of working experience, pumbavu sasa waliomaliza chuo hivi karibuni mnataka waende wapi, au wewe unayeajiri ulimaliza chuo ukiwa na experience pumbavu zenu!
acha uvivu! umefungua link ya udsm ukaikosa? tatizo lako unataka upewe kila kitu. utakaa na degree yako mpaka uzeeke! changamsha akili yako aisee!Huwa sifurahishwi na matangazo ambayo hayawekwi tarehe ya kutolewa halafu wanasema deadline ni "Two weeks from the first appearance of this Advertisement"
wasiliana na wizara ya mambo ya ndani kwa maelezo zaidi!Experience ndio tatizo hapo..
Wadau kupata kazi idara ya uhamiaji inakuaje?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us