mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Mkuu cvs ndio hiyo umejaza before cv gani unaattach tena?Kwani mkuu kuna sehemu wamesema uattach cv!? Sio kama CV unaandaa kwenye portal yao palepale!?
Mkuu cvs ndio hiyo umejaza before cv gani unaattach tena?Kwani mkuu kuna sehemu wamesema uattach cv!? Sio kama CV unaandaa kwenye portal yao palepale!?
Hata na mimi naelewa hivyo ndugu ila nlikuwa tu najaribu kumuelewesha mdau hapo.Mkuu cvs ndio hiyo umejaza before cv gani unaattach tena?
Okay sawaHata na mimi naelewa hivyo ndugu ila nlikuwa tu najaribu kumuelewesha mdau hapo.
HahahahaSina hamu na hao ppf inshort subirin kuitwa watu si chin ya 5000 ila mtafanya interview ya awamu...ilikuwa ni mwaka juzi waliita interview bas mm ya kwangu ilikuwa saa 2 asubuh pale chuo cha elimu ya watu wazima...walikuja watu kama 1000 nikajua ndo sisi bas ile tunatoka saa 4 kumbe kuna wengine walikuja na pia saa 6 kulikuwa na wengine...
Sasa hayo maswali yenyewetulibak tunaangaliana maswal meng ni tofaut na kaz unayoomba nahs lengo ni kupunguza idadi but nahs kuna walengwa washaandaliwa tho am not sure...mtakaoitwa mtegemee hayo..goodluck
Hivi kweli kabisa sehemu ya CV kwenye tangazo haionekani?Mkuu cvs ndio hiyo umejaza before cv gani unaattach tena?
Ndio nlifanikiwaUmefanikiwa kutuma?
Wps office inamove from nini huko to pdf, anyway tumetosha tusubr kuitwa km tutaitwa. Msisahau kutuupdate wakuuUkiona hivyo docs zako siyo pdf.
Naassume portal yao iko sawa hivyo docs zako siyo pdf.
Zifungue kwenye word kisha bonyeza file, halafu save and send itakupa option ya kuzifanya docs zako kua xls au pdf, chagua pdf kisha publish.
Me niliweka na cv tenaDu nime attach vyeti pekeake bila letter sijui wataniconsider
DuuuWatu wako intern miakaaaa wanasubiri maybe