Uzushi kuhusu walimu kushonewa sare

Uzushi kuhusu walimu kushonewa sare

chanzo tafadhali, tusipotezeane muda hapa. Chaajabu hata kama hizi taarifa ni za uzushi, kwani wahusika hawaoni? mbona sioni hatua zozote zikichukuliwa? au TCRA illianzishwa kwaajili ya uchaguzi wa ubunge na urais 2015 tu? kuwakaamta hatu hovyo wakati watu wanaoanzisha upuuzi kama huu mnawakalia kimya??
 
Sare ni muhimu zingewasaidia kusave pesa zao za mishahara.
Kwa sasa walimu wanapoteza pesa nyingi kwa mashindano ya kuvaa nguo. Hasa wanawake .
Serikali yetu ilipaswa ilipokee kama changamoto .
Pia inapunguza suala la walimu kuzurura wakati wa masomo. Nidhamu ya kazi ingeongezeka.
 
Ndugu zangu watanzania !

Mimi sikuleta mada hii ili tujadili uhalali wa mwenge ,maana nitoe angalizo mapema,Bali hii habari ya kushona sare kila wilaya na aina yao.

Mimi naomba kwa kuwa bado tunapambana kuona uwezokano wa kurudisha thamani ya walimu kiuchumi ,nashauri tuwapunguzie gharama zisizo za lazima.

Maandalizi yote kama kunaulazima washiriki ila kuwalazimisha kuchangia mwenge na kununua sare (vitenge,t-shirts, na vitambaa vya kushona) .

Samahani kwa wale mliokuwa mnanufaika na tender ,bado hata ya maneno yangu yanaweza yasisike.

NB:Rais Magufuli tunakutegemea kutufikisha katika Usawa.

Karibuni si mbaya mkaeleza uzoefu wenu katika uvaaji wa sare hizi.
 
Back
Top Bottom