BATTO napafananisha sana na Mufindi Iringa ila kwa sasa hivi kupita sehem kama hizo usiku watoto wa panya road ni halali yako
Na kuna msitu fulani ukitoka tu Geita mjini unakutana nao na mwingine ukitoka Kahama Mpaka Ushirombo na kutoka Ushirombo mpaka Runzewe na Runzewe mpaka Nyakanazi hapo kati kuna misitu mikubwa sana