Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Habari waungwana,
Huwa nakata tamaa sana na mwanamke wa ki afrika anaye jipiga carolyte ili afanane na Mzungu, hawajajua labda thamani yao. Kitu walichofanikiwa wazungu ni kumfanya mwafrika ajidharau mwenyewe hasa mwanamke, aisee wanawake wa kiafrika ni wazuri duniani hakuna, hivi ndio vitu amabavyo watu wa rangi zote huwa wana muonea gere mwanamke wa kiafrika duniani pote.
1.Lips,
Ukitaka kumjua mwafrika yoyote duniani mwangalie midomo yake,mara nyingi huwa ni pana kidogo zenye kuendana na umbo na rangi halisi ya mwanamke wa kiafrika.
2.Nywele, wana nywele ambazo anaweza zifanya vyovyote apendavyo, akiamua kuzisuka,kuzifunga, kuzitengeneza dread locks nk na kuzifanya apendavyo yeye kulingana na hali aliyopo mda huo, ukame, ukata wa kiuchumi nk.
3.Uwezo wa Kuishi mazingira yoyote,kwenye joto baridi nk.
4.Umbo, awe mwembamba, au 'miss bantu' anavutia kwa kweli.
5.Ngozi, inayokubali kila aina ya sabuni, mafuta na mazingira, infact miaka ya karibuni kumekuwa na matatizo kidogo kwa baadhi ya dada zetu kuchagua aina ya mafuta ya kupaka, sabuni ya kuogea nk, but mimi huwa nasema ni just complications tuu na kuibuka kwa magonjwa mbalimbali na allergies ila walio wengi hawana hayo mambo, yaani geisha, malaika, komoa, komesha sabuni ya aina yoyote anaogea bila shida na kupaka mafuta yoyote yawe ya nazi, nivea, ya limao nk.
6.Kua tu na mwanaume wa kiafrika, yaani kitendo tu cha yeye kuwa na uwezo wa kua na mwanaume wa kiafrika, unajua duniani ukisema nataka mwanaume mrefu mwenye umbo kadha wa kadha mwanaume wa kiafrika anatumika sana kamaa mfano na anpendeza,sio tu Afrika ila duniani kote 'Man From he Sun'
So dada zetu acheni kujishtukia brand yenu duniani ni kubwa kuliko mnavyofikiria,
Quinene mwitu.
Huwa nakata tamaa sana na mwanamke wa ki afrika anaye jipiga carolyte ili afanane na Mzungu, hawajajua labda thamani yao. Kitu walichofanikiwa wazungu ni kumfanya mwafrika ajidharau mwenyewe hasa mwanamke, aisee wanawake wa kiafrika ni wazuri duniani hakuna, hivi ndio vitu amabavyo watu wa rangi zote huwa wana muonea gere mwanamke wa kiafrika duniani pote.
1.Lips,
Ukitaka kumjua mwafrika yoyote duniani mwangalie midomo yake,mara nyingi huwa ni pana kidogo zenye kuendana na umbo na rangi halisi ya mwanamke wa kiafrika.
2.Nywele, wana nywele ambazo anaweza zifanya vyovyote apendavyo, akiamua kuzisuka,kuzifunga, kuzitengeneza dread locks nk na kuzifanya apendavyo yeye kulingana na hali aliyopo mda huo, ukame, ukata wa kiuchumi nk.
3.Uwezo wa Kuishi mazingira yoyote,kwenye joto baridi nk.
4.Umbo, awe mwembamba, au 'miss bantu' anavutia kwa kweli.
5.Ngozi, inayokubali kila aina ya sabuni, mafuta na mazingira, infact miaka ya karibuni kumekuwa na matatizo kidogo kwa baadhi ya dada zetu kuchagua aina ya mafuta ya kupaka, sabuni ya kuogea nk, but mimi huwa nasema ni just complications tuu na kuibuka kwa magonjwa mbalimbali na allergies ila walio wengi hawana hayo mambo, yaani geisha, malaika, komoa, komesha sabuni ya aina yoyote anaogea bila shida na kupaka mafuta yoyote yawe ya nazi, nivea, ya limao nk.
6.Kua tu na mwanaume wa kiafrika, yaani kitendo tu cha yeye kuwa na uwezo wa kua na mwanaume wa kiafrika, unajua duniani ukisema nataka mwanaume mrefu mwenye umbo kadha wa kadha mwanaume wa kiafrika anatumika sana kamaa mfano na anpendeza,sio tu Afrika ila duniani kote 'Man From he Sun'
So dada zetu acheni kujishtukia brand yenu duniani ni kubwa kuliko mnavyofikiria,
Quinene mwitu.