Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,468
duh, ngoja nichangamke, nimebweteka sana.
Natenga mayai yangu kwenye makapu 6 lol
Yu mini mafiga sita! Du, lazima uwe na Mtaji mkubwa!
duh, ngoja nichangamke, nimebweteka sana.
Natenga mayai yangu kwenye makapu 6 lol
Ila sio kama za magamba!
Mapenzi hayana formula!
Mi sijawahi kupenda. . .siku nikipenda NTACHANGIA vizuri.
Kama unajua ukipenda utaumia kwa nini upende wakati SODA ZA KOPO zipo? Na nani alikuambia mwenye hela huwa anaachwa? Na ukiwa na pesa unaweza ukasahau hata kutongoza jinsi utakavyokuwa unatongozwa na ma-she. Ukinipenda kivyako, sirudishi upendo, nakunywa natupa. Yaani kama treni, nagonga waliokuwa kwenye reli tu. Mpenzi wa kweli ni MONEY tu, wengine wazushi.
unacheza na mapenzi wewe,hujapenda bado.subiria siku yako ukamatwe.
love is always two traffic ways
big up sana! Inaonekana unaakili sana. Wanaopenda ni wale up stairs kuna matatizo na kipato kinasumbua. Wanakimbilia kwenye mapenzi kutafuta faraja, hata hivyo hawaipati.
money is not everything!