sekhal
Member
- Jul 21, 2016
- 44
- 37
Habari zenu,
Hongereni kwa harakati mnazozifanya, me as a job seeker, nimeamua kuanzisha topic hii ili tuweze kupeana uzoefu wa yale maswali general yanayoulizwa kwenye interview.
Pia ni namna gani ulijibu maswali hayo, si mbaya ukishare nasi changamoto ipi au kituko kipi kilikutokea / ulishuhudia wakati wa interview.
Hata kama ni jambo dogo tafadhari share nasi maana sharing is caring, naamini nitajifunza mm pamoja na wengne wataofuatilia mada hii. Ahsante
Hongereni kwa harakati mnazozifanya, me as a job seeker, nimeamua kuanzisha topic hii ili tuweze kupeana uzoefu wa yale maswali general yanayoulizwa kwenye interview.
Pia ni namna gani ulijibu maswali hayo, si mbaya ukishare nasi changamoto ipi au kituko kipi kilikutokea / ulishuhudia wakati wa interview.
Hata kama ni jambo dogo tafadhari share nasi maana sharing is caring, naamini nitajifunza mm pamoja na wengne wataofuatilia mada hii. Ahsante