Uzoefu katika maisha

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,683
Reaction score
14,066
Unapopata changamoto katika maisha iwe ugonjwa,huzuni,msiba,kufilisika,uchungu moyoni,kuchanganyikiwa.

Masikini tu ndio wanaoweza kukusaidia kwa moyo wa kweli.

Kamwe usiende kwa tajiri.

BELIEVE ME
 
Na sisi matajiri hatuwataki nyie masikini maana masikini hafadhiriki wala haaminiki.
Masikin hana hoja ana HAJA na masikini ukimshibisha kwake ni kero na ukimuacha na njaa pia ni kero.ROHO YA MASIKINI INA MAOMBI MENGI SANA YA WATU WAPOROMOKE WAWE KAMA YEYE KULIKO MAOMBI YA YEYE KUNYANYUKA
 
Huku kwa ground tajiri hakipeleka taarifa kama izo kwa maskini, ugeuka sherehe, kama una rafiki wa kweli amn msaada utapata kwa maskini vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…