Uzito wa Dr. Slaa dhidi ya demokrasia nchini Tanzania

Slaa tena? kweli ccm mna kiherehere mno! si mnae huko kwenu! wala sie hatumtaki tena kwani CDM ni hazina ya vipaji luluki.
 
Kuna ukweli ambao moyoni mwa Mbowe na wachache ndani ya CHADEMA wanaujua.
Mbowe alikuwa kiongozi bora sana wakati pembeni yake wapo Dr. Slaa na wale wazee wengine (mnawajua).

Mbowe pamoja na ubabe na jeuri zake zote alikuwa anamuheshimu sana Dr. Slaa, nilitaka kusema alikuwa anamuogopa nikaona ni neno kali nikasema anamheshimu.

Mbowe asie na usaidizi au uangalizi wa Dr. Slaa sio Mbowe yule alieipandisha CHADEMA kufikia at the pinnacle of success.
Ukitaka kuujua hili fuatilia kwa wanaojua jinsi ilivyo muwia vigumu namna ya kwenda kumshawishi Dr. Slaa wabadili gia angani 2015, namna alivyotumia cabinet yake kumzunguka yule Mzee Slaa.

Ipo siku watu wa karibu na Mbowe na wana cabinet ya Mbowe na wale wapiga zumari, wafuata upepo watakuja kuelewa huu ukweli.
Pumba tupu.
 
Sasa hivi malengo Mbowe ni kuhakikisha ruzuku haikati ndani ya CHADEMA na sio kushika dola.

2020 yupo tayari kumsimamisha mtu yoyote yule ilimradi awe na uhakika wa kupata kura za kutosha mrija wa Rizuku usikate.!
Labda anaweza kusimamisha kati ya hawa ili kujihami abakize wabunge 1.Mzee wa kazi na Bata-Membe, 2.Nyarandu 3.TLS
 
Sasa hivi malengo Mbowe ni kuhakikisha ruzuku haikati ndani ya CHADEMA na sio kushika dola.

2020 yupo tayari kumsimamisha mtu yoyote yule ilimradi awe na uhakika wa kupata kura za kutosha mrija wa Rizuku usikate.!
nakwambia huyu jamaa bonge la tapeli,hajatosheka na mzigo aliobeba wa lowasa bado anatamani ruzuku za watanzania tusubiri 20 tuone kama atasusa uchaguzi
 
Ukitaka kujua CDM imekufa na Slaa au laa ruhusu mikutano na mikusanyiko ya siasa.

Huwezi kusema mpinzani wako ni kwishme angali unamnyima pumzi.
 
Kuna ukweli ambao moyoni mwa Mbowe na wachache ndani ya CHADEMA wanaujua.
Mbowe alikuwa kiongozi bora sana wakati pembeni yake wapo Dr. Slaa na wale wazee wengine (mnawajua).

Mbowe pamoja na ubabe na jeuri zake zote alikuwa anamuheshimu sana Dr. Slaa, nilitaka kusema alikuwa anamuogopa nikaona ni neno kali nikasema anamheshimu.

Mbowe asie na usaidizi au uangalizi wa Dr. Slaa sio Mbowe yule alieipandisha CHADEMA kufikia at the pinnacle of success.
Ukitaka kuujua hili fuatilia kwa wanaojua jinsi ilivyo muwia vigumu namna ya kwenda kumshawishi Dr. Slaa wabadili gia angani 2015, namna alivyotumia cabinet yake kumzunguka yule Mzee Slaa.

Ipo siku watu wa karibu na Mbowe na wana cabinet ya Mbowe na wale wapiga zumari, wafuata upepo watakuja kuelewa huu ukweli.
Dr. Slaa kutokufuata ushauri wa Mbowe ni kwasababu alishafungwa kamba na rafiki zake wa TISS, ulifika wakati wa yeye kulipa fadhila kwa hao jamaa, coz yeye Slaa akiwa katibu mkuu alikuwa akijisifu anapewa taarifa nyeti toka kwa rafiki zake wa TISS, sasa baada ya Lowassa kwenda CDM jamaa wakaona CDM itakuwa na nguvu sana, bora rafiki yao Slaa aende upande wa pili, au ajitoe kwenye siasa ili kupunguza nguvu ya CDM,na upinzani kwa ujumla, na hili lilifanikiwa. Kuthibitisha hili, baada ya Slaa kuondoka CDM akawa anapewa ulinzi na TISS akiwa anaishi hotelini!.

Kwangu Slaa hana uzalendo wowote kwa upinzani, Mbowe ndie nguzo imara ya upinzani Tz, hanunuliki, hakopesheki, hadanganyiki kwa vyovyote vile, ndio maana wanamuwinda kutwa kucha!
 
Habari Tanzania:
Ukitaka kujua kuwa democrasia inajengwa katika utaratibu wa imani na ujenzi wa itikadi katika taifa kwa vijana huwezi ukashangaa jinsi gani democrasia nchini ikisuasua ndani ya chadema

Dr. Slaa alianza kuandika vitabu katika chama CHADEMA akiwa katibu mkuu vijitabu hivi na kutoa miongozo mbalimbali jambo ambalo lilikuwa linafanywa na mwl Julius Kambarage Nyerere akiwa anatengeneza vijana Tanu na ccm kwa ujumla ,

Mwl J. K. Nyerere alifanya kazi ambayo hadi leo kuna vijana wa ccm wanatusumbua kwa sababu ya Mwl Julius Kambarage.CHADEMA mkataka mafanikio ya haraka jambo ambalo limefanya muonekane vituko katika nchi mnayoita ya kidikteta kumbe udikteta mmeufanya wenyewe hadi leo Dr. Slaa mkamkata ulimi,

USHAURI; Mbowe omba msamaa kwa Dr. Slaa utubu kazi ziende utaonekana muungwana sana, mwambie ulijikwaaa sana na watu watakupenda bure sana na dunia itatikisika ila kwa kuwa kila jambo hadi ujionee usitegemee utaivusha democracy wewe umeshindwa vibaya sana huna jipya unawapotezea vijana muda wao, na umepoteza dira zetu tuliopoteza muda kwa ajiri ya chadema
ilo jambo litawatafuna sana chadema
ukitaka kuiangalia vizuri inaenda kama gari lisilo na dereva
 
Dr. Slaa kutokufuata ushauri wa Mbowe ni kwasababu alishafungwa kamba na rafiki zake wa TISS, ulifika wakati wa yeye kulipa fadhila kwa hao jamaa, coz yeye Slaa akiwa katibu mkuu alikuwa akijisifu anapewa taarifa nyeti toka kwa rafiki zake wa TISS, sasa baada ya Lowassa kwenda CDM jamaa wakaona CDM itakuwa na nguvu sana, bora rafiki yao Slaa aende upande wa pili, au ajitoe kwenye siasa ili kupunguza nguvu ya CDM,na upinzani kwa ujumla, na hili lilifanikiwa. Kuthibitisha hili, baada ya Slaa kuondoka CDM akawa anapewa ulinzi na TISS akiwa anaishi hotelini!.

Kwangu Slaa hana uzalendo wowote kwa upinzani, Mbowe ndie nguzo imara ya upinzani Tz, hanunuliki, hakopesheki, hadanganyiki kwa vyovyote vile, ndio maana wanamuwinda kutwa kucha!
Kwa mfano ndio kweli Slaa alikuwa anapewa siri na TISS, je zilikuwa za kweli?
Zilikuwa zina lisaidia taifa au zinalinda maslahi ya taifa?
Zilikuwa zinawaumbua na kuwapunguza kasi mafisadi?

Kama majibu ndiyo basi huoni Slaa ndio alikuwa anasimamia na kutekeleza ajenda ya mabadiliko ya kweli ya kupinga ufisadi?
Huoni yeye aliendelea kufanya kazi hiyo vizuri kwa kukataa kuungana na mtu walie mtuhumu kuhusika na ufisadi mkubwa?
Huoni hiyo ilikuwa sababu tosha ya kumpa ulinzi mpigania maslahi ya nchi?

Hata wewe ukifanya jambo kubwa la maslahi ya taifa na kuhatarisha maisha yako ukiomba ulinzi toka kwa taasisi za serikali utapewa tu na wala haitakuwa kosa au aibu au ufisadi au usaliti.
Fikiria kama mtu mwenye maono na uelewa mkubwa wa mambo, fikiria nje ya kasha(box).
 
Kwa mfano ndio kweli Slaa alikuwa anapewa siri na TISS, je zilikuwa za kweli?
Zilikuwa zina lisaidia taifa au zinalinda maslahi ya taifa?
Zilikuwa zinawaumbua na kuwapunguza kasi mafisadi?

Kama majibu ndiyo basi huoni Slaa ndio alikuwa anasimamia na kutekeleza ajenda ya mabadiliko ya kweli ya kupinga ufisadi?
Huoni yeye aliendelea kufanya kazi hiyo vizuri kwa kukataa kuungana na mtu walie mtuhumu kuhusika na ufisadi mkubwa?
Huoni hiyo ilikuwa sababu tosha ya kumpa ulinzi mpigania maslahi ya nchi?

Hata wewe ukifanya jambo kubwa la maslahi ya taifa na kuhatarisha maisha yako ukiomba ulinzi toka kwa taasisi za serikali utapewa tu na wala haitakuwa kosa au aibu au ufisadi au usaliti.
Fikiria kama mtu mwenye maono na uelewa mkubwa wa mambo, fikiria nje ya kasha(box).
kati ya katibu mkuu cdm waliowahi kupoteza,slaa watamkumbuka maisha yao yote,
 
Back
Top Bottom