Uzinduzi wa kampeni za CCM Chalinze wadoda

Uzinduzi wa kampeni za CCM Chalinze wadoda

Status
Not open for further replies.
Leo kweli kulikuwa na mvua sehemu nyingi za Dar na pwani. Inaweza kuwa sababu.
 
CCM haijazindua kampeni katika jimbo la Chalinze.

Lazima ufahamu kuanza kwa kampeni na kuzindua kampeni ni vitu viwili tofauti.

Kampeni za uchaguzi wa mbunge kupitia CCM katika jimbo la Chalinze zitazinduliwa na Katibu Mkuu wa CCM taifa.

Hiki kiwanda cha BAVICHA ambacho kazi yake ni kuzalisha uwongo, majungu na uzandiki kilichoko mtaa wa Togo na makao makuu yake ambayo yako mtaa wa Ufipa kiko mbioni kukosa malighafi baada ya uchaguzi wa jimbo la Chalinze utakapofanyika tarehe 06/04/2014.
 
Hizi ni baadhi ya mikutano ya kampeni za mgombea wa ubunge wa CCM, lakini haina maana kuwa kampeni za mgombea wa CCM, Ridhiwani Kikwete zimeishazinduliwa rasmi na chama.

6.jpg

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubi wananchi wa Kijiji cha Matipwili,Saadani Wilayani Bagamoyo,wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni zake ulioanza rasmi jana Machi 14,2014.
52.jpg

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubi wananchi wa Kijiji cha Saadani,Wilayani Bagamoyo.
45.jpg

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wanakijiji wakazi wa Kijiji cha Mkange,Saadani Wilayani Bagamoyo waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza huku wengi wakiahidi kumpa kura zao pindi itakapofika siku ya Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo.
17.jpg

Diwani wa Kata ya Mkange,Ndg. Abdallah Mwendali nae hakuwa nyuma katika kuwasisitiza wananchi wa Jimbo la Chalinze.
14.jpg

Diwani wa Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze,Said Zikatimu akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Gongo,huku akiwataka kutofanya ajizi pindi itakapofika siku ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,hivyo kura zao zote wampigie Mgombea wa CCM ambaye ni Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete.
9.jpg

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akinong'onezwa jambo na Mmoja wa kinamama wa Kijiji cha Matipwili (Jina lake halikuweza fahamika mara moja).
10.jpg

"Ni furaha tupu" Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akifurahia jambo na wanakijiji wa Matipwili.
28.jpg

1.jpg

29.jpg

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na Wanakijiji cha Mkange,wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Mkutano.
30.jpg

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na Sheikh wa Kijiji cha Mkange.
48.jpg

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na rafiki yake wa kitambo.
47.jpg

Mwenyekiti wa Kampeni katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Saleh Mpwimbwi
 
Hivi Chadema kweli wanaamini watashinda Chalinze.
kwanini unahisi CDM wanatakiwa wafikirie watashindwa kulibeba hilo jimbo? Remember its not a good candidate that wins, but its a good campaign that wins. CDM wanamapafu ya mbwa katika campaigns zao. Wanajua namna ya kushambulia jukwaa na ndo mana katika chaguzi ndogo (hasa za ubunge) pasipo hila, always CDM wanaibuka kidedea, Sitashangaa sana CDM wakichukua Chalinze mana naelewa kuwa hata wanachalinze na wao pia Utawala wa kichief wameuchoka. Haina tofauti sana na kusema kuwa hapo Chalinze hakuna anayeweza kuwaongoza isipokuwa ukoo wa Fulani...
 
Kwa mtu yoyote mwenye akili timami anajuwa duhahiri Ridhiwani ndio atatakuwa mbunge wa chalinze kinachofanyika sasa ni political process tu.

mapema mno mjomba subiri kwanza mziki wa chadema dogo mchafu sana anaweza asiione njia ya dodoma.
 
mapema mno mjomba subiri kwanza mziki wa chadema dogo mchafu sana anaweza asiione njia ya dodoma.
Huyu jamaa anawajua vzr sana CDM na mziki wake ila ameamua kujitoa kumbukumbu. Ngoja kesho tuwrap mambo hapo Kalenga afu kikosi kazi kishuke hapo chalinze.
 
CCM haijazindua kampeni katika jimbo la Chalinze.

Lazima ufahamu kuanza kwa kampeni na kuzindua kampeni ni vitu viwili tofauti.

Kampeni za uchaguzi wa mbunge kupitia CCM katika jimbo la Chalinze zitazinduliwa na Katibu Mkuu wa CCM taifa.

Hiki kiwanda cha BAVICHA ambacho kazi yake ni kuzalisha uwongo, majungu na uzandiki kilichoko mtaa wa Togo na makao makuu yake ambayo yako mtaa wa Ufipa kiko mbioni kukosa malighafi baada ya uchaguzi wa jimbo la Chalinze utakapofanyika tarehe 06/04/2014.

kwanza chadema kote is right kwamba watu ni wachache naomba unifafanulie mtu akisema shule hii leo imezinduliwa anakuwa anamaanisha ndio inakuwa imeanza au inafungwa ???
 
kwa mtu yoyote mwenye akili timami anajuwa duhahiri ridhiwani ndio atatakuwa mbunge wa chalinze kinachofanyika sasa ni political process tu.

uko bar nini brother matola? Hebu andika vizuri basi
 
Waswahili safari hii CDM itawaelimisha hivyo hivyo japo kuwa wajinga ni wengi na wamekumbatia dhiki na hawataki kuziachia. Tutaenda nao hvyo hivyo kibishi.

sisi ni mapafu ya mbwa.tunashuka na documentary ya ufisadi wa Rith na babake na mama ake wa kambo.hapa Dr.Slaa,hapa Marando,kule Tundu Lisu
 
kwanini unahisi CDM wanatakiwa wafikirie watashindwa kulibeba hilo jimbo? Remember its not a good candidate that wins, but its a good campaign that wins. CDM wanamapafu ya mbwa katika campaigns zao. Wanajua namna ya kushambulia jukwaa na ndo mana katika chaguzi ndogo (hasa za ubunge) pasipo hila, always CDM wanaibuka kidedea, Sitashangaa sana CDM wakichukua Chalinze mana naelewa kuwa hata wanachalinze na wao pia Utawala wa kichief wameuchoka. Haina tofauti sana na kusema kuwa hapo Chalinze hakuna anayeweza kuwaongoza isipokuwa ukoo wa Fulani...

Sio kwa Chalinze jombi..
 
kwanza chadema kote is right kwamba watu ni wachache naomba unifafanulie mtu akisema shule hii leo imezinduliwa anakuwa anamaanisha ndio inakuwa imeanza au inafungwa ???
Kampeni zimeanza lakini kwa upande wa CCM, hazijazinduliwa rasmi.

Sasa hapa huelewi nini?. Au wewe ulitaka mgombea ubunge kupitia CCM, asiongee lolote au asifanye chochote mpaka kampeni izinduliwe rasmi?.

Siwezi kukusaidia zaidi. Kwa watu wanaofahamu taratibu za CCM kwenye kampeni watafahamu vizuri ninachokiandika.
 
Maandishi yangu utayasoma siku ya matokeo. Hivi kwa akili yako Jk atakubali Prince aangushwe.


Hata JK asingekua rais waswahili katu hawawezi kichagua chama kinachowadharau...watukana...na kuwabagua...

Hiyo muarusha anapoteza mda tu kwa waswahili wa chalinze..
 
Kampeni zimeanza lakini kwa upande wa CCM, hazijazinduliwa rasmi.

Sasa hapa huelewi nini?. Au wewe ulitaka mgombea ubunge kupitia CCM, asiongee lolote au asifanye chochote mpaka kampeni izinduliwe rasmi?.

Siwezi kukusaidia zaidi. Kwa watu wanaofahamu taratibu za CCM kwenye kampeni watafahamu vizuri ninachokiandika.

Achana nao vilaza hao
 
Mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za CCM Chalinze umedoda.Hamasa kubwa iliyofanywa kwa kutumia magari ya matangazo na mashangingi imepata mwitikio mdogo.Mbaya zaidi Mvua kubwa inanyesha muda huu na kuzima kabisa ndoto ya kupata wahudhuriaji angalao wachache wa kusikiliza hotuba za ufunguzi.CCM wanafanya mkutano wao eneo la Miono ambapo ni nyumbani kwa Mbunge aliyetangulia Said Bwanamdogo.

Wazigua na wa Kwere wenye msimamo wa wastani wamesusia mkutano huu kwa kuwa hawaridhishwi na mazingira ya kifo cha Mbunge wao ambaye anaaminika kuwa alifanyiwa hujuma kwa sababu za kisiasa ili mtoto wa mwenyekiti wa chama arithi jimbo aliloshikilia baba yake kwa sasa kabla ya baba yake kuondoka madarakani.

Pia hoja kubwa ni kuwa baba yake mgombea wa CCM alikua Mbunge kwa muda mrefu na hakufanya kitu,iweje Said Bwanamdogo aliyejitahidi miezi 12 ya kwanza kufanya kazi za maendeleo akwamishwe na wakubwa na kisha kumuondoa kabisa duniani halafu leo aibuke mtoto wa Mwenyekiti na kutoa ahadi kuwa atamalizia ahadi za Marehemu Said BwanaMdogo? Wazigua na Wakwere wenye msimamo wa wastani wanasema hii ni laana kwa mujibu wa mila na tamaduni zao.

Hivi unayaandika haya ma uwongo ukiwa wapi msalani au jalalani?
 
Mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za CCM Chalinze umedoda.Hamasa kubwa iliyofanywa kwa kutumia magari ya matangazo na mashangingi imepata mwitikio mdogo.Mbaya zaidi Mvua kubwa inanyesha muda huu na kuzima kabisa ndoto ya kupata wahudhuriaji angalao wachache wa kusikiliza hotuba za ufunguzi.CCM wanafanya mkutano wao eneo la Miono ambapo ni nyumbani kwa Mbunge aliyetangulia Said Bwanamdogo.

Wazigua na wa Kwere wenye msimamo wa wastani wamesusia mkutano huu kwa kuwa hawaridhishwi na mazingira ya kifo cha Mbunge wao ambaye anaaminika kuwa alifanyiwa hujuma kwa sababu za kisiasa ili mtoto wa mwenyekiti wa chama arithi jimbo aliloshikilia baba yake kwa sasa kabla ya baba yake kuondoka madarakani.

Pia hoja kubwa ni kuwa baba yake mgombea wa CCM alikua Mbunge kwa muda mrefu na hakufanya kitu,iweje Said Bwanamdogo aliyejitahidi miezi 12 ya kwanza kufanya kazi za maendeleo akwamishwe na wakubwa na kisha kumuondoa kabisa duniani halafu leo aibuke mtoto wa Mwenyekiti na kutoa ahadi kuwa atamalizia ahadi za Marehemu Said BwanaMdogo? Wazigua na Wakwere wenye msimamo wa wastani wanasema hii ni laana kwa mujibu wa mila na tamaduni zao.

Unaumwa
 
Maandishi yangu utayasoma siku ya matokeo. Hivi kwa akili yako Jk atakubali Prince aangushwe.

Nguvu ya umma ndo itakayopanga matokeo si jk, hiv ungeamin kama ghadafi angeondolewa madarakani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom