phael vet
Senior Member
- Sep 30, 2016
- 126
- 82
Mambo zenu wakuu kuna wale tuliopambana kufaulu mitihani ya written na kubahatika kuitwa Oral Dodoma na hatujaitwa kazini mpaka leo kwa kada za Afya, Maendeleo ya jamii, Afisa mifugo msaidizi II n.k karibuni tujadili pamoja na kushea uzoefu wa hapa na pale.