Humu wengi ni watoto na vijana. Wengi walikuwa primary 1990s na 2000s, secondary 2000s hadi 2010s. Wazee ni wachache.Nilichokiona kwenye uzi huu wazee ni wengi sana sema wanaupenda ujana. Majina wanayotumia humu unaweza kudhani ni watoto wa miaka ya 1990s kumbe ni nyuma mbali kabisa. Anyway namtafuta Rosemary Kabisi mara ya mwisho tulionana Arusha 1996.
Kama wote mnasema ukweli Mshana Jr hawezi kuwa your age mate. Mshana anasema 1982 alikuwa darasa la 3 wewe unasema ulikuwa unafanya kazi Textiles; how comes muwe age mates?Possibly 52-60. Huyo ni wa umri wangu
Sure ?????Yuko mala ya mwisho...
Kaenda Afrika Kusini kufundisha kiswahili!
Huyu ni Mary Masanja naibu waziri wa utalii ama!Nawatafuta watu hawa.Edmund mnyawami ,Clara manoni,Charles majigwa,Erick Misaka,David Aron, Peter Lupande, ( Mapinduzi shule msingi Shinyanga).Lucia Mahona ( Kom secondary).Mhindi Masanja ( Azimio shule ya msingi /Lubaga).Pia
LUCIA DONARD ( Huyu alikua mtoto wa mchungaji wa kanisa dogo la Aic Lubaga alihama zamani sana ) alikohamia sikujui , Pia Marry Masanja (Old shinyanga secondary).
Anakusalimia Pasco Ngwembe.Nawatafuta vijana wote niliomaliza nao NJOSS form six (2013) HGE.
Huyu mbona km nishawahi kumsikia sehem! Huyu jamaa km ni Askari nadhanNamtafuta Juma Uledi tulisoma Mawenzi primary ~1992 tulipotezana mwaka 97 mpaka Leo sijawahi muona tenaaa.
Doooh!Nipo
Huyu jamaa niliwahi kutana nae maeneo ya kantalamba sekondari sumbawanga mjini,namtafuta Petro Mwanalinze rfk yangu wa utotoni nilipotezana nae 2008 huko Nkasi Rukwa hajawahi futika ktk mawazo yangu mliopo Chala, kanazi na maeneo hayo.
Namtafuta Irene Thomas,Mama yake mchaga wa marangu ukoo wa lyimo na baba yake ni mmasai ila makazi Yao Dodoma(Mailimbili).Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com