Picha nzuri haimaanishi maisha mazuri. Usitamani alichonacho mtu mwingine kwa sababu ya kilichoonekana nje. Wengine wanapaka rangi kwenye maumivu yao
Maisha ni shule isiyo na likizo. Kila siku unafundishwa, kama hutajifunza, utarudia darasa kwa maumivu.