Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Sawa,nakuinbox soonMy naomba nafasi moyoni mwako tuyajenge?
Sawa,nakuinbox soonMy naomba nafasi moyoni mwako tuyajenge?
😻Sawa,nakuinbox soon
🥰
Kasinde kwa nini nikufinye mama na ladha ya sukari waijua ni tamu...
Halafu Kasie kule Ndoto napasikia sikia tu kuwa ni bonge moja la holiday/weekend gateway...kuna hadi horse riding...
😊 Hujafanya kitu mbaya mbona Kasinde...
Kuna huyo mwananchi hapo nilikuwa naenda naye sawa
. Unamtaka Bibi faiza foxyNakumbuka kipindi cha nyuma uzi wa namna hii ulikuwepo hapa jukwaani, mimi ni miongoni mwa wanajf nilioufaidi uzi ule
Sasa nimeonelea niurejeshe tena maana haupo humu
Kutongozana kiutu uzima hakuhitaji longolongo nyingi za kitoto, watu wazima hawapangwi ni kueleweshwa tu then unapewa mbususu straight
Pitia hapa mtafute mtu mzima mwenzio mtongoze kiutu uzima mkamalizane!
Mimi namsubiri FaizaFoxy au Kasie nafikiri atanielewa
. Unamtaka Bibi faiza foxy
Heshima yako mkuu!!Hivi best upo?
Habari za miaka mingi
Mkuu.....Aiseee ni miaka mingi mno!!!
Nipo best ni kama umeni surprise hivi
Naam mkuu, heri ya miaka sijui mwaka mpya!Mkuu.....
Jamani thank you my hubby to be! Ila tangu uweke ile ahadi ya kununua kile kitanda cha elfu 70 ili tuhamie kwetu na ukashindwa kununua dah😂😂 ila one day tutanunua tu babe😍😍Natuma salamu kwa my wife to be financial services 😍😍😍
Sijui ni kwa nini huwa naogopa kumtafuta pm mpaka leo! Yaani ninamuonea aibu mpaka najishtukia!🙄 Baby, unaweza tu kuni 'dip', halafu mimi nitapiga! 🤙
Kwa utawala wa huyu mama, naamini tutanunua tu kitanda cha thamani zaidi ya kile cha elfu 70! Dah!! Enzi zile, vyuma vilikuwa vimekaza sana!Jamani thank you my hubby to be! Ila tangu uweke ile ahadi ya kununua kile kitanda cha elfu 70 ili tuhamie kwetu na ukashindwa kununua dah😂😂 ila one day tutanunua tu babe😍😍
Sawa babe! Tunategemea mambo mazuriKwa utawala wa huyu mama, naamini tutanunua tu kitanda cha thamani zaidi ya kile cha elfu 70! Dah!! Enzi zile, vyuma vilikuwa vimekaza sana!
Hapo kwa mafuta umeharibu
PM kufanyaje sasaMsikimbilie pm, mmalizane hapa hapa
Ha ha haaaaa...Mbona unatupangia maisha?
Na kwako pia mkuuHeshima yako mkuu!!
Ha ha haaaaa...Aiseee ni miaka mingi mno!!!
Nipo best ni kama umeni surprise hivi