- Thread starter
- #61
Msikimbilie pm, mmalizane hapa hapaHivi best upo?
Habari za miaka mingi
Msikimbilie pm, mmalizane hapa hapaHivi best upo?
Habari za miaka mingi
Aiseee ni miaka mingi mno!!!Hivi best upo?
Habari za miaka mingi
Usiyaogope ni yale ya Ulaya si kama ya hapa BongoDah haya mkuu ila hayo mapaka tu ndiyo nayaogopa
Mbona unatupangia maisha?Msikimbilie pm, mmalizane hapa hapa
Hii ni dalili ya watu kukosa shughuli za muhimu za kufanya...
Niache kutafuta pesa, nianze hangaika kutongoza mtu hata hujui kama ni choko, au muuza mbunye au hata ni kidume mwenzio...
Tafuta pesa, mambo mengine yakufuate ikiwemo 'wachuchu'
Sukari ya waremboMbona unatupangia maisha?
Kiutu uzima hii ila ona sasa ulikoangukia dahWee sukari weweee, unawadanganya wanaume wenzio hivihivii.....
Wewe uko na pesa na ni mtamu,
Sasa wanaume wenzako watazitafuta pesa ila wataachwa mapema sababu hawatakuwa na utamu kama wako, vile wewe ni sukari ya warembo...
Kama nimesema uongo nifinye hapahapa, na kama nimesema ukweli, nakudai town trip from Kigamboni to Ndoto Pole....
mmalizane huko tu mkuuMbona unatupangia maisha?
Nimekuja bossi, ngoja nisome yaliyomo as nime comment kwanza.
Sukari ya warembo
Uzinzi na umalaya ni kipaji kama ilivo kucheza mpira au basket ball na inaonekana mapema kama vipaji vingine tu toka udogoni ndio maana mkiambiwa mchague wa kuzaa naye mnakuwa na jazba na hasira,serikali hawezi kuingilia vipaji vya watu its in human nature.
WHERE THERE IS A WHEEL, THERE IS A WAY!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Relax mkuu, kamata Pepsi ya baridiiiiii upooze mwili...
Usiamini kila unachosoma
Kiutu uzima hii ila ona sasa ulikoangukia dah
My naomba nafasi moyoni mwako tuyajenge?Mi nitajuaje kama kaz anaiweza,tusidanganyane hapa hatufahamiani kabisa
Wee sukari weweee, unawadanganya wanaume wenzio hivihivii.....
Wewe uko na pesa na ni mtamu,
Sasa wanaume wenzako watazitafuta pesa ila wataachwa mapema sababu hawatakuwa na utamu kama wako, vile wewe ni sukari ya warembo...😋
Kama nimesema uongo nifinye hapahapa, na kama nimesema ukweli, nakudai town trip from Kigamboni to Ndoto Pole....
Duh sikutarajia iwe hivi.
Samahani sana Watu8, nimejisikia vibaya.
Naacha kuanzia leo.