mdau mpya
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 473
- 651
Wanaume hebu tuwe na kikao kifupi hapa.
Hili tatizo la *kibamia* linaathiri saikologia ya wanaume wengi sana hasa zama hizi ambazo unaweza pata mpenzi alishakuwa na mabaharia kama 20 hivi so ni full kufanyiwa comparison na hapa ndo heshima inashuka.
Mada:
Hivi kuna mtu yeyote alishawahi tumia dawa za kuongeza mkuyenge zikamsaidia na zipi hizo!
ANGALIZO: Wapo wanaoamini kuwa hakuna dawa hizo ila wapo waliotumia na kufanikiwa. Suala la kuridhika na ulichonacho wakati wengi wakiumia kisaikologia sio suruhu muafaka.
Karibuni.
Hili tatizo la *kibamia* linaathiri saikologia ya wanaume wengi sana hasa zama hizi ambazo unaweza pata mpenzi alishakuwa na mabaharia kama 20 hivi so ni full kufanyiwa comparison na hapa ndo heshima inashuka.
Mada:
Hivi kuna mtu yeyote alishawahi tumia dawa za kuongeza mkuyenge zikamsaidia na zipi hizo!
ANGALIZO: Wapo wanaoamini kuwa hakuna dawa hizo ila wapo waliotumia na kufanikiwa. Suala la kuridhika na ulichonacho wakati wengi wakiumia kisaikologia sio suruhu muafaka.
Karibuni.
