Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,600
Tutumie uzi huu mwenye kibarua (kazi ya muda mfupi) aeleze kazi aliyonayo na inatakiwa ifanyike lini; ili mwenye kuhitaji kazi hiyo ajitokeze, na wakubaliane malipo ili maisha yaweze kuendelea. Kazi hizo zinaweza kuwa:-
- Ujenzi
- Ufundi bomba
- Kuosha magari
- Kubeba taka
- Kusafisha nyumba
- Kuchimba mashimo
- Kuvuna mazao
- Kutumwa madukani
- Ulinzi
- Ukataji wa fensi,maua
- Kupika
- Kufua n.k