African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 776
- 1,349
Yap
App hauandai tu kama kalatasiWakat unafanya kuandaa app.. Lazma Pc iwe connected kwenye internet ?
Ingia YouTube Channel ya Jiku Tech Tips kuna playlist imeandika Android Programming itakusaidiaNi pasua kichwa aisee mpaka sasa App ya Hello world tu ni mtihani mzito
Ni kweli codding inahitaji muda sanaNaamini anaweza ni kazi rahisi. Kikubwa muda tu. Si kazi ngumu kabisa ni Nyepesi sana, inayohitaji muda mwingi.
Hivyo anaweza akitenga muda
Mimi ni developer napenda kufanya modification ya function za watu na kutengeneza nnavyo taka mimiJifunze programming acha uvivu,
Ukatengeneza kitu kwa mikono yako kinakuwa pure! Na rahisi kuweza kukimantain.
Take time learn how to code your own app.