Uzi maalum wa kujifunza Java online

Uzi maalum wa kujifunza Java online

Gwangzu

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2017
Posts
2,457
Reaction score
3,819
Habari wapendwa nilipotea kwa muda kidogo huku Jf. sasa nimerudi na uzi mpya ambayo tutajifunza online na kuna wajuzi wengi sana humu Tanzania sasa hii ni fursa ya mtanzania kusomea java programing language hii ni lugha ya computer sasa leo sitakuwa mfafanuaji sana nadhani nyote mnajua kuwa Java ni aina mojawapo ya programing language amayo inamanufaa kama umesomea hii language .
36b8080fad19553785777b2cabd83dfd.jpg

Katika dunia ya sasa kila kitu miaka ya mbele kitakuwa kinaendeshwa kwa computer computer itakuwa inaambiwa ikifika muda flani fanya hichi inafanya binadamu itakuwa kazi yake ni kula kulala kunywa na kula raha za dunia sasa huwezi itumikisha computer bila kuwa na program endeshi au huwezi kuwa na smartphone kama huna application sasa computer kuiagiza kitu unachotaka huwezi iagiza bila kuwa na program na program inatengenezwa na mwanadamu na kuitengeneza mpaka uwe umesoma lugha ya computer na kuielewa.
945f60fdaebd6f8fe12871d5c4434fb3.jpg
sasaleo uzi huu ni kwaajili ya kufundisha hapa kitu unachokijua kuhusu na si lugha nyingine zaidi ya java tutaanza kujifunza kama beginning humu kwahivyo suscribe uzi kwanza utamu unakuja.


learnjavaonline.org
 
Katika dunia ya sasa kila kitu miaka ya mbele kitakuwa kinaendeshwa kwa computer computer itakuwa inaambiwa ikifika muda flani fanya hichi inafanya binadamu itakuwa kazi yake ni kula kulala kunywa na kula raha za dunia.

learnjavaonline.org

Wenzako wakati wanagundua mashine,waliwaza kama wewe.

Wanadamu Watapumzika na mashine zitafanya kazi mbadala wa mwanadamu

Wakasahau Tamaa yenye Uchu wa wanadamu...leo hatulali
 
ManchoG ndio kwa dunia ya sasa ukisomea java utaweza kuajiliwa hata huko marekani kwenye makampuni makubwa kisha ukapiga pesa zakutosha2 au kama utaweza kuwa na mtaji unatafuta kikundi ambacho na wenzako wamesoma java mkatengeneza vitu vizuri mtapiga pesa yakutosha
ulimwengu wa sasa sio wa enzi za mababu enzi zile nchi kama marekani na nchi zilizo endelea kiuchumi vitu kama hivi vilikuwa ni siri yaani wanatunukiwa watu wenye uwadhifa wao ndio wanasomea mambo kam haya lakini sasa haya maswala ya utandawazi yameleta mapinduzi makubwa na yameifanya dunia iendelee kiuchumi na kiteknolojia kasome java wewe .
Kuna kitu nataka niongee Tatizo la wabongo mtaanza kunitukana
 
java yahitaji mwalimu
Bora html waweza elewa mwenyewe
Hili ndio tatizo la wabongo wengi!! do you think Java is a rocket science? kwa wenzetu watoto wa miaka 12 wanagonga C na C++ kwa kujifunza wenyewe achilia mbali hiyo Java ambayo wewe unadhani ni lazima mwalimu!!!
 
Kati ya programing language rahisi kujifunza/kuitumia ukitoa HTML ni hii JAVA na PHP haziitaji akili nyingi sana kama C# au C. Hii JAVA unaweza kujifunza ndani ya wiki tatu au mwezi ivi. ukitumia JAVA kutengeneza software ni rahis kinoma kushinda C au C++ (lkn mara nyingi inategemea uwezo wa mtu kwangu mm python ndo naona rahisi)
 
Hili ndio tatizo la wabongo wengi!! do you think Java is a rocket science? kwa wenzetu watoto wa miaka 12 wanagonga C na C++ kwa kujifunza wenyewe achilia mbali hiyo Java ambayo wewe unadhani ni lazima mwalimu!!!
wewe kama wewe bila mwalimu umepiga language ngapi?
 
Hili ndio tatizo la wabongo wengi!! do you think Java is a rocket science? kwa wenzetu watoto wa miaka 12 wanagonga C na C++ kwa kujifunza wenyewe achilia mbali hiyo Java ambayo wewe unadhani ni lazima mwalimu!!!
hao wakina C na C++ ni high levil programing languges
pia usome frameworks zake. kina Active x na wengine wengi.
watoto wa kibongo usiwafananishe na wakizungu
 
hao wakina C na C++ ni high levil programing languges
pia usome frameworks zake. kina Active x na wengine wengi.
watoto wa kibongo usiwafananishe na wakizungu
My idea sio kufananisha watoto wa kizungu na hawa wetu, nilitakak kukwambia unaweza soma Java na language ingine yeyote bila kuwa na mwalimu ...
 
Kati ya programing language rahisi kujifunza/kuitumia ukitoa HTML ni hii JAVA na PHP
HTML sio programming language mkuu!

haziitaji akili nyingi sana kama C# au C.
Kama unajua Java then jua unajua c sharp na kotlin maana tofauti ni ndogo sana, sijaelewa unaposema java ni rahisi alafu unasema c sharp inahitaji akili nyingi una maanisha nini!!

Hii JAVA unaweza kujifunza ndani ya wiki tatu au mwezi ivi. ukitumia
Mhhh wiki tatu uwe umejifunza Java? naungana na wewe unaposema java sio ngumu ila sikubaliani na wewe unaposema unaweza ukajifunza java wiki tatu!!!
 
HTML sio programming language mkuu!


Kama unajua Java then jua unajua c sharp na kotlin maana tofauti ni ndogo sana, sijaelewa unaposema java ni rahisi alafu unasema c sharp inahitaji akili nyingi una maanisha nini!!


Mhhh wiki tatu uwe umejifunza Java? naungana na wewe unaposema java sio ngumu ila sikubaliani na wewe unaposema unaweza ukajifunza java wiki tatu!!!
Hapo juu nilikua naelezea tu kuhusu kupata concept ya basic 4 beginner tu!! Sijamaanisha 3wk uijue yote Complete. Kwel HTML sio PL lkn ipo vizur kwa mtu kuijua kama utajifunza PL, hata mm nilianza kuijua HTML ndo zikafata PL.
 
Hapo juu nilikua naelezea tu kuhusu kupata concept ya basic 4 beginner tu!! Sijamaanisha 3wk uijue yote Complete. Kwel HTML sio PL lkn ipo vizur kwa mtu kuijua kama utajifunza PL, hata mm nilianza kuijua HTML ndo zikafata PL.
Nimekupata mkuu!!

HTML haina uhusiano wowote na PL! nnavyoona kama mtu anataka kujifunza web development atleast anaweza kuanza na HTML ila sio unataka kujifunza software development alafu ananze na HTML sizan kama ni option nzuri!!!

Kwa anayetaka kuanza kujifunza programming atleast aanze na python au C programming! Ila C Programming ndio ingekua nzuri zaidi maana inakupa mwanga wa programming languages nyingine ambazo technically zime inherit from C!!!

Ukiijua C then PHP, C++, Java, python hazitakusumbua kusoma!!!
 
C + C++ C# ARE EVERYTHING

JUST KNOW THAT ,,,USIBISHE
 
Back
Top Bottom