Uzi maalum wa kujifunza Java online

Uzi maalum wa kujifunza Java online

Mmeanza tena kulumbana....sisi wanaf tunaskilizia tu.
Sijui mtaweka lini mwafaka tujifunze kitu
 
Watu wa ajabu yaani html ni programming language dah!
 
Someni java source code jomoni
 
java yahitaji mwalimu
Bora html waweza elewa mwenyewe

Sijui unaposema mwalimu unamaanisha nini?
Maana naweza kwenda Udemy nkachukua course ya Tim ya Java Masterclass na nkasema huyo ndo mwalimu wangu au nkatafuta kitabu nkasoma na bado nkasema hicho kitabu ndo mwalimu wangu!

Nawaomba wote mtakaosoma hii thread puuzeni comment kama hizi!

Na kama unataka jifunza java download hii video tutorials za Udemy za TIM BULCHAKA ina about 70hrs videos.
Ime cover kila kitu unachoitaji kuwa Java Developer isipokua haigusii Java web apps wala android apps i.e ime cover GUI kwa kutumia Javafx, Network programming,Debuggind and Unit testing,Database programming, Concurrency/Threading e.t.c

Utajionea kabisa hii kitu imesheeni madini machahce kuweza kupata

Complete Java Masterclass Udemy Download Free | FreeTutorials.Us
 
Habari wapendwa nilipotea kwa muda kidogo huku Jf. sasa nimerudi na uzi mpya ambayo tutajifunza online na kuna wajuzi wengi sana humu Tanzania sasa hii ni fursa ya mtanzania kusomea java programing language hii ni lugha ya computer sasa leo sitakuwa mfafanuaji sana nadhani nyote mnajua kuwa Java ni aina mojawapo ya programing language amayo inamanufaa kama umesomea hii language .
36b8080fad19553785777b2cabd83dfd.jpg

Katika dunia ya sasa kila kitu miaka ya mbele kitakuwa kinaendeshwa kwa computer computer itakuwa inaambiwa ikifika muda flani fanya hichi inafanya binadamu itakuwa kazi yake ni kula kulala kunywa na kula raha za dunia sasa huwezi itumikisha computer bila kuwa na program endeshi au huwezi kuwa na smartphone kama huna application sasa computer kuiagiza kitu unachotaka huwezi iagiza bila kuwa na program na program inatengenezwa na mwanadamu na kuitengeneza mpaka uwe umesoma lugha ya computer na kuielewa.
945f60fdaebd6f8fe12871d5c4434fb3.jpg
sasaleo uzi huu ni kwaajili ya kufundisha hapa kitu unachokijua kuhusu na si lugha nyingine zaidi ya java tutaanza kujifunza kama beginning humu kwahivyo suscribe uzi kwanza utamu unakuja.


learnjavaonline.org

Kwa hizo picha ulizoweka si bora usingeweka picha kabisa!
 
Sijui unaposema mwalimu unamaanisha nini?
Maana naweza kwenda Udemy nkachukua course ya Tim ya Java Masterclass na nkasema huyo ndo mwalimu wangu au nkatafuta kitabu nkasoma na bado nkasema hicho kitabu ndo mwalimu wangu!

Nawaomba wote mtakaosoma hii thread puuzeni comment kama hizi!

Na kama unataka jifunza java download hii video tutorials za Udemy za TIM BULCHAKA ina about 70hrs videos.
Ime cover kila kitu unachoitaji kuwa Java Developer isipokua haigusii Java web apps wala android apps i.e ime cover GUI kwa kutumia Javafx, Network programming,Debuggind and Unit testing,Database programming, Concurrency/Threading e.t.c

Utajionea kabisa hii kitu imesheeni madini machahce kuweza kupata
i meant kupata mtu mwenye utaalamu na language husika. probably mtu kama wewe!
 
Back
Top Bottom