Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Shida ni pesa
Duh bado unatumia simu ya android4 wewe komando kweliMsaada cm yangu Tecno p3 Android version 4.0.4 inakataa kabisa Ku install WhatsApp tokea nifute, Na kwenye play store ina nambia not comprictable with my device, msaada wenu wapi nita download maana nikidownload kwa 9app ina install lakini kabla ata ya option ya kuweka no inaitaji ku update.
Waongo hao
KwelTECNO zinasumbua ukijaza apps nyingi
Tunakula tulicho na uwezo nacho.tecno for Africa boss.....hakuna watumiaj wengne wa tecno tofaut na Africa..
Tecno nzuri kama huna matumizi mabovu ya simu.labda umeingia jamii forum,facebook na whatsapp.kupiga na kupokea simu,sms kadhaa umemaliza.hapo utaenjoy.Nina tecno L9 hapa inapiga kazi since September mwaka Jana na haijawai kuniletea zengwe lolote
inaweza kila kitu tatizo ni kiooo tuTecno nzuri kama huna matumizi mabovu ya simu.labda umeingia jamii forum,facebook na whatsapp.kupiga na kupokea simu,sms kadhaa umemaliza.hapo utaenjoy.
Ila mzee mie kwa siku natumia mpaka GB5.ujanishauri bado
Hapo ni virus tu wamezidi sasa unapoireset mwenyewe wale virus hawaishi bali wanapungua tu kidogo dawa ni kupeleka kwenye ile mashine ya kuiflash kabisa hao virus wataisha wote na itatulia kwa muda mrefu.Niko na tecno J5 iko na tatzo hilo, kila likitokea huwa nairesert na inakaa poa na imekuwa na ttz hilo karibia kila baada ya mwezi kiukweli linanikera sana mwenye kujua namna ya kuliondoa bila kureset please anisaidieView attachment 964684