ze big
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 382
- 350
Habarini wadau nimeona nianzishe uzi huu kusaidia watu tuweze kujuzana maeneo ya starehe yanaweza kuwa mapya au yazamani ila muhimu ni kwamba yawe ya gharama zinazowafaa watu wa kawaida na wa uchumi wa kati. Maeneo haya yanajumuisha; sehemu za kulala, Bar maarufu zilizo changamka, Maeneo mapya yakujipatia chakula na vinywaji na kadhalika. Mahali popote Africa mashariki ruksa kupapendekeza.