Wewe ni me au ke?Baada ya kuona hili janga limegusa watu wengi sana hata humu Jukwaani kuna mada nyingi za Shuhuda mbalimbali kuhusu hili lijamaa. Uzoefu unonesha hakuna aliyefanikiwa kupambana na hili Lijamaa yaani Binaadamu tumelishindwa,Mimi kama muhanga mkubwa wa hili janga sina haja ya kutoa ushuhuda maana nafanana na wenzangu wote waliotoa shuhuda zao humu Ila Dhumuni la Uzi huu ni Kuangalia Njia mbadala kwa sababu maisha Lazima yaendelee kama ni pesa mi nasema sasa basi Sitatoa hata shilingi Kumi yangu Ila mimi binafsi nimefikiria Kuliacha tu liendelee kumla My wangu(Sijasusa) na mimi ntakula kwa wakati wangu hayo mambo mengine yote ya Kufikikirika Nayaacha kama Yalivyo Na siku Nikibahatika Kuongea nalo ntaliweka wazi liendelee tu kwa wakati wake Ila liniachie My wangu Nampenda sana!
Majini mahaba tumeyashindwa tuishi nayo tu hakuna namna! Hakuna tiba ya Jini mahaba mtafilisika tu na kuishia Umasikini na Ulofa....Nasisitiza tutafute njia sahihi ya kuishi nayo tu mi mwenzenu tayari nishafanya maamuzi ila inahitaji moyo.Fafanua vizuri mkuu!
Mwambie awe anajipaka mafuta ya kitimotoMajini mahaba tumeyashindwa tuishi nayo tu hakuna namna! Hakuna tiba ya Jini mahaba mtafilisika tu na kuishia Umasikini na Ulofa....Nasisitiza tutafute njia sahihi ya kuishi nayo tu mi mwenzenu tayari nishafanya maamuzi ila inahitaji moyo.
Yanakufilisije sasa mkuuu!!!??Majini mahaba tumeyashindwa tuishi nayo tu hakuna namna! Hakuna tiba ya Jini mahaba mtafilisika tu na kuishia Umasikini na Ulofa....Nasisitiza tutafute njia sahihi ya kuishi nayo tu mi mwenzenu tayari nishafanya maamuzi ila inahitaji moyo.
Mimi sio mganga nimekupa ushauri kwani si unanunua kama mafta ya kujpaka anajpaka wese si wanasema jini halipendi kitimoto, sasa mwendo wa kitimoto oil.Nimeshasema sihitaji Tiba kama we mganga Pita kushoto.
Nieleweshe wewe muhanga mmojawapo!Zipo nyuzi nyingi Ukisoma utanielewa.
Si wanasema jini halipendi kitimoto, basi halitotia mguu litakuwa linamchungulia kwa mbaliii 🧐SIHITAJI TIBAAAAAA!! Hayo mafuta ukishapaka halafu?