Uzi huu ni kwenu wanawake

Uzi huu ni kwenu wanawake

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Mwanamke unapokuwa unakataa kataa wanaume kwasababu zako mwenyewe, kumbuka pia na andiko hili;

Nabii Isaya

Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”

Sasa kuwa makini wakati huo usije ukakukuta bado upo kwenu ukaishia kuwa mchepuko tu.
 
Shontele anakwambia
Impossibleee
 
Back
Top Bottom