kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Mwanamke unapokuwa unakataa kataa wanaume kwasababu zako mwenyewe, kumbuka pia na andiko hili;
Nabii Isaya
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”
Sasa kuwa makini wakati huo usije ukakukuta bado upo kwenu ukaishia kuwa mchepuko tu.
Nabii Isaya
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”
Sasa kuwa makini wakati huo usije ukakukuta bado upo kwenu ukaishia kuwa mchepuko tu.