Leo EWURA wametoa tangazo kwa umma katika vyombo vya habari ikiwa ni wito wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu ombi la Tanesco kupandisha bei ya huduma ya umeme.Tangazo ni full page ambayo naamini si chini ya 1.5milioni.
Sasa jedwali la bei linaonyesha bei mpya inayopendekezwa ni ndogo kuliko bei ya sasa (inayopaswa kupandishwa)?!? Hakika hili ni kosa la utayarishaji wa jedwali na nina amini wakikundua watarekebisha na kulileta upya sababu ni tangazo linatotoka kisheria.
Endapo tangazo lipo kwenye magazeti mengine nani anabeba hii gharama ya uzembe?
Source:gazeti la mwananchi leo