new forest
Member
- Mar 28, 2024
- 46
- 126
Habari wana JF?. Mimi Niko kwenye ndoa mwaka wa pili, nimebahatika kupata mtoto Mmoja ana mwaka na miezi miwili saiv.
Tulikuwa tunatumia njian ya UZAZI WA MPANGO WA kitanzi na mke WANGU, na kitanzi chenyewe kawekewa kina kama miezi nane tu ila chakushangaza alikuwa hajaingia period tangu wiki iliyopita kaenda kujipima Leo kakuta ni mjamzito na kitanzi anacho.
Hii imetuacha na maswali mengi, na hatuko tayari kupata mtoto mwingine Kwa saizi.
Kwa mwana JF anayefahamu DAWA anayoweza kutumia au njia salama ya kutoa huo ujauzito sababu bado ni mchanga SANA. Msaada tafadhalini🙏
Tulikuwa tunatumia njian ya UZAZI WA MPANGO WA kitanzi na mke WANGU, na kitanzi chenyewe kawekewa kina kama miezi nane tu ila chakushangaza alikuwa hajaingia period tangu wiki iliyopita kaenda kujipima Leo kakuta ni mjamzito na kitanzi anacho.
Hii imetuacha na maswali mengi, na hatuko tayari kupata mtoto mwingine Kwa saizi.
Kwa mwana JF anayefahamu DAWA anayoweza kutumia au njia salama ya kutoa huo ujauzito sababu bado ni mchanga SANA. Msaada tafadhalini🙏