Uzalendo wa Zitto Kabwe na Mwigamba kusomea nje ya nchi!

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,738
3,199
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu
 
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu
Mkuu!!! Mwigamba atasoma tawi la Arusha mkuu soatauwa hapa hapo nchini!!!
 
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu


Sijajua umri wako lakini kifupi hata nyerere huyo unayemtolea mfano alisoma chuo kikuu cha makerere uganda, halafu aliyekuambia kusomea ndani ya nchi ndiyo uzalendo?, hivi umeshawahi kujiuliza kwanini serikali inawapeleka vijana nje kwenda kusoma wakati wanavyuo vikuu, halafu nikuulize vyuo vyako vya ndani ya nchi vina ubora? Si ndiyo waliyetutolea wakina DK RUTENGWE anayeenda kwenye media maghufuli amwonee huruma?, na wakina polepole ambao hawajuelewi
 
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu
Mbowe na Kubenea ndio wazalendo kwa kkusomea elimu ya hapa na pale humu nnchini.
 
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu
Kuna mitazamo tofauti hapa,yawezekana wameenda kusoma kujiendeleza kwa maslahi binafsi au kwa ajili ya kujitengenezea utukufu siku za mbeleni..Mana bado kuna kasumba ya kuwa ukisoma nje ni bora kuliko elimu ya vyuo vyetu..ingawa kuna ukweli kwenye baadhi ya
Maeneo unayoyasomea.
Ingawa kusoma sehemu kama Harvard kunaweza kukusaidia kuweza kuwa kibaraka mzuri wa mabepari kama watakuhitaji mbeleni..mana watakuchukulia kuwa wewe ni '' mwenzao" hasa pale wanapohisi waweza kutumika kwa maslahi yao huku nyumbani. Haijalishi hata kama ni baada ya miaka 10,20,25...
Hii ilitokea sana miaka ya 60 na kuendelea,rejea harakati za historia ya Africa na jinsi vibaraka walivyosomeshwa na kuja kupandikizwa..
Kwaiyo tusishangae kuona threads za kujitengenezea mazingira ya mbeleni kutoka kwa baadhi ya hawa wasomi wetu..
Ingawa pia haiingii akilini kutumia 100ml+ kusoma nje wakati jimboni wananchi wanatumia maji ya kisima yenye rangi ya maziwa..
 
Kwa hiyo serikali inapopeleka baadhi ya watu kwenda kusoma njee inakuwa imewaondolea uzalendo wasomi hao?
 
Hata Magu anayesema anapenda maisha ya kawaida anasomesha mtoto wake fedha schools!! Uzalendo si kitu cha kuigiza!
 
kusoma ni private issue na kuwa mbunge na gharama za masomo sio eti kuna mahusiano na kuwatumikia wananch mbunge diwan timiza wajibu wako kusoma private kuna maisha baada siasa
 
I aspire to attend Cambridge University nikipata nafasi na uwezo Inshaallah
Open Univ pale kinondoni na Harvard alosoma Obama wapi na wapi, let's appreciate the prestigious quality of the institution na ile international multi cultural experience mtu atakayopata,u must become a better person ukipita huko,mtu field /project unafanya nchi nyingine huko unajifunza sana,
 
Nafuatilia Mbwembwe za wanasiasa imekuwa kawaida yao kujinasibu kuwa wanalipenda taifa letu na wananchi wake.sijawahi amini dhana hii kwa wanasiasa wa miaka hii.labda kizazi cha Nyerere na wachache walioishi kama yeye.
ZZK yupo USA Havard university(very prestigious university in the world) analipa dola kule mzalendo wetu huyu! hela anazolipa kule angesoma open university/udsm angesaidia watanzania wenye shida ya madawati/miundo mbinu mbalimbali mashuleni.hapo ningemuita mzalendo wa ACT.
Mwigamba anenda kusoma degree ya uzamili na uzamivu Kenyata Universiy kule analipa kwa hela ya kenya/dola ambazo pia angesoma hapa kwetu angetusaidia na chenji zinazobaki.
kukimbilia kupata Elimu kwenye vyuo bora ndio uzalendo wa kuendeleza ubora wa Elimu zetu hapa nchini?!
Pia naamini Habibu Machange ndiye anahitaji ajiendeleze angalau ajenge hoja zenye mashiko.mchangieni hela kama mnavyanzo makini vya hela mpaka mnaenda kusoma nje ya nchi.
Ni mtizamo tu.epuka matusi kwenye mjadala.binafsi siko kambi yoyote ni mchambuzi huru.karibu
Nikweli, yaani kama mwk. taifa wa chama chetu baadaya kujenga nyuma na kuweka pesa hapa nchin, yeye anajenga Dubai, Usa napesa zake ni Uswisi, Tabu tupu.
 
Unakomaa Open Univ weeee wakija wazungu unawaogopaaa hadi unasign mikataba mibovu bovuu,soma Harvard uzoee kuwachallenge hata akija Africa unaenda nae sahani moja
The day I saw Kabwe there I said Safi sana,
 
Sijajua umri wako lakini kifupi hata nyerere huyo unayemtolea mfano alisoma chuo kikuu cha makerere uganda, halafu aliyekuambia kusomea ndani ya nchi ndiyo uzalendo?, hivi umeshawahi kujiuliza kwanini serikali inawapeleka vijana nje kwenda kusoma wakati wanavyuo vikuu, halafu nikuulize vyuo vyako vya ndani ya nchi vina ubora? Si ndiyo waliyetutolea wakina DK RUTENGWE anayeenda kwenye media maghufuli amwonee huruma?, na wakina polepole ambao hawajuelewi
get your fact collect Nyerere alivyosoma kule kulikuwa na university hapa DAR? alitumia hela zake kujisomesha au sponsorship?
 
Back
Top Bottom