Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau Tulitangaziwa na CCM kuwa Magufuli ni Mzalendo wa kweli Rais wa Wanyonge Rais Mwenye Uchungu na Nchi yake je kwa Mfululizo wa REPORT za CAG zenye kuonesha UBADHILIFU wa KUTISHA kila SEHEMU mpaka Wilayani Kwake.
Je, CCM inataka Tuendelee kuamini kuwa Magufuli alikuwa kweli MZALENDO zaidi ya NYERERE?
Kama kweli CCM inahubiri kupambana na UFISADI basi REPORT ya CAG wakabidhiwe TAKUKURU waachiwe waifanyie KAZI bila kuingiliwa au KULINDANA ili Wahusika bila kujali VYEO VYAO WAKAMATWE kinyume chake UFISADI utazidi kuendelea kwa KASI kama ulivyo.
Je, CCM inataka Tuendelee kuamini kuwa Magufuli alikuwa kweli MZALENDO zaidi ya NYERERE?
Kama kweli CCM inahubiri kupambana na UFISADI basi REPORT ya CAG wakabidhiwe TAKUKURU waachiwe waifanyie KAZI bila kuingiliwa au KULINDANA ili Wahusika bila kujali VYEO VYAO WAKAMATWE kinyume chake UFISADI utazidi kuendelea kwa KASI kama ulivyo.