Uzalendo ni matendo viva Kubenea!

Uzalendo ni matendo viva Kubenea!

Joined
Aug 27, 2014
Posts
15
Reaction score
5
Kubenea ni mfano wa wazalendo halisi waliobakia hai Tanzania.Hakika nchi yetu itakombolewa mara ya pili na watu makini na siwapiga kelele na majungu kama walioko kwenye genge linaloendelea kule kati kati ya nchi!Mungu ampe nguvu na ulinzi mzalendo huyu!
 
Kuna taarifa kua mahakama imekubali kusimamisha BMK kupitia kesi iliyofuguliwa na kubenea ila bado siijaconfirm.
 
Basi tumpe uenyekiti wa chadema!
 
modes wamelala wakiamka tu wataifuta hii thread sijui kwanini wanamchukia hivyo mzalendo na mbunge wa kibaha (2015) kubenea
 
Halafu eti babu kubwa jinga linalozeeka vibaya linaongea bungeni maneno ya shombooo.Siku ile anamtaja Kubenea nilidhani alimshambulia yeye moja kwa moja.Kumbe uharo tu.WATANZANIA TUNAWANGOJA KWENYE KONA.Ohooo ni sime.
 
Magamba walitaka kumuua kwa kumwagia tindikali
 
"Kubenea ni kama mchekeshaji wa mfalme" Samuel Sitta
 
Gud tutafika tu na hawa nterahamwe kwa kujifanya wanatengeneza katiba yetu kumbe wanatengeneza ya kwao
 
Back
Top Bottom