Zanzibar ni nchi usiilinganishe na mkoa kama wa Kusini Pemba
Kupeana ulaji kila mtu apateHuko ni missuse of resources, Zanzibar inatakiwa iwe mkoa wenye wilaya mbili na majimbo mawili tu ya uchaguzi, unguja na pemba.
Hao baraza la wakilishi ndiyo mhimili mmoja wapo kati ya mitatu ya nchi ya ZanzibarNchi maana yake nini?
Wajumbe wa baraza la wawakilishi wanafanya kazi gani?
Siasa ni uongo. Ndio hali halisi.ZANZIBAR watu milioni 2 wabunge zaidi ya 40.
DAR-ES-SALAAM watu milioni 6 wabunge 10.
Vigezo gani huangaliwa kuweka idadi ya wabunge?
Kila MTU ale keki ya taifaSiasa ni uongo. Ndio hali halisi.
Mshahara, Posho na Stahiki zingine anazolipwa Mbunge wa Zanzibar ni sawa na anazolipwa Mbunge wa Bara?ZANZIBAR watu milioni 2 wabunge zaidi ya 40.
DAR-ES-SALAAM watu milioni 6 wabunge 10.
Vigezo gani huangaliwa kuweka idadi ya wabunge?
Sawa kila kituMshahara, Posho na Stahiki zingine anazolipwa Mbunge wa Zanzibar ni sawa na anazolipwa Mbunge wa Bara?
Hadi zile lita 2,000 za mafuta kwa mwezi? Sasa Lita 2,000 si utazunguka Zanzibar yote na mafuta yasiishe?Sawa kila kitu
Tumefika mahali na kusahau kwamba Zanzibar ni nchiZANZIBAR watu milioni 2 wabunge zaidi ya 40.
DAR-ES-SALAAM watu milioni 6 wabunge 10.
Vigezo gani huangaliwa kuweka idadi ya wabunge?