rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,441
Ebu chukua muda kidogo na kusoma alichoandika huyu so called Deputy Minister of Financy of what called Tanzania!!!!!
KWA WANA CCM WENZANGU:
Kazi ya kuigaragaza CUF na kuiweka Mahali wanapostahili
Ilifanyika Mapema na kwa Ustadi Mkubwa, Wakati tuko ktk
Mchakato wa Kuishuhulikia CHADEMA ili nayo tuwaweke
Wanapostahili, Bunge la Katiba likajitokeza na Kuwanusuru,
Wasiwasi na Hofu ilowapata, wakaamua kuunda Njama na
Kuwakokota CUF ambao tayari hawjitambui Chini ya Bango
la UKAWA kwa sasa wako katika mataarisho ya kuizunguka
Nchi ati kuwaelimisha wananchi juu ya Katiba. Jambo jema ni
Watanzania wako Makini. Itawashangaza Watanzania kuwaona
Watu walitoka Bungeni kwa kukimbia Majukumu walokabidhiwa
Rasmi wakipita mitaani na Hadhi za Ualimu wa KATIBA, katiba
ambayo RASIMU yake tu Imewalewesha, Wakachukuwa POSHO
na KUTOWEKA!! Ni juu yetu Wana CCM kuwatahadharusha
Wananchi Wasipoteze wakati wao kuwasikiliza Watu Walofeli
kwa Kushindwa Kutekeleza Wajibu wao na Majukumu Waliopewa
na Badala yake Kulalamika na kutoa Visingizio kama Watoto wadogo!!
KWA WANA CCM WENZANGU:
Kazi ya kuigaragaza CUF na kuiweka Mahali wanapostahili
Ilifanyika Mapema na kwa Ustadi Mkubwa, Wakati tuko ktk
Mchakato wa Kuishuhulikia CHADEMA ili nayo tuwaweke
Wanapostahili, Bunge la Katiba likajitokeza na Kuwanusuru,
Wasiwasi na Hofu ilowapata, wakaamua kuunda Njama na
Kuwakokota CUF ambao tayari hawjitambui Chini ya Bango
la UKAWA kwa sasa wako katika mataarisho ya kuizunguka
Nchi ati kuwaelimisha wananchi juu ya Katiba. Jambo jema ni
Watanzania wako Makini. Itawashangaza Watanzania kuwaona
Watu walitoka Bungeni kwa kukimbia Majukumu walokabidhiwa
Rasmi wakipita mitaani na Hadhi za Ualimu wa KATIBA, katiba
ambayo RASIMU yake tu Imewalewesha, Wakachukuwa POSHO
na KUTOWEKA!! Ni juu yetu Wana CCM kuwatahadharusha
Wananchi Wasipoteze wakati wao kuwasikiliza Watu Walofeli
kwa Kushindwa Kutekeleza Wajibu wao na Majukumu Waliopewa
na Badala yake Kulalamika na kutoa Visingizio kama Watoto wadogo!!