Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,110
kuwekeza tunaongelea marketing funds ama bond hasa hasa zenye free risk. Kujenga nyumba nizile za kupangisha kwaajili ya wapangaji. Nadhani kila kimoja kina faida na hasara yake.
Mfano mtu aliyejenga nyumba ya milion 50 amaweza kupokea kati ya laki 5 kwa mwezi sawa na milion 6 kwa mwaka ndani ya miaka 20 atakuwa amekusanya milion 120.
Aliyewekeza kwenye Marketing fund zenye compund interest tsh 50M ndani ya miaka 20 ana zaidi ya milion 400 mtazamo wako ni upi mdau tujifunze.
Mfano mtu aliyejenga nyumba ya milion 50 amaweza kupokea kati ya laki 5 kwa mwezi sawa na milion 6 kwa mwaka ndani ya miaka 20 atakuwa amekusanya milion 120.
Aliyewekeza kwenye Marketing fund zenye compund interest tsh 50M ndani ya miaka 20 ana zaidi ya milion 400 mtazamo wako ni upi mdau tujifunze.