BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Habarini business moguls!
Tupeane information kuhusu uwekezaji katika sekta hizo mbili, nini kinahitajika, faida na hasara zake ( changamoto) kwa ujumla!
Na je kuna project gani zilizopo recently tanzania katika sekta hizo mbili ( gesi na mafuta), ambazo zinahitaji uwekezaji, na vipi kama mtanzania anaweza kuwekeza katika sekta hizo?
Tupeane information kuhusu uwekezaji katika sekta hizo mbili, nini kinahitajika, faida na hasara zake ( changamoto) kwa ujumla!
Na je kuna project gani zilizopo recently tanzania katika sekta hizo mbili ( gesi na mafuta), ambazo zinahitaji uwekezaji, na vipi kama mtanzania anaweza kuwekeza katika sekta hizo?