Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,413
Habarini wana jf. Sijui kama hii thread lmeshawekwa au la. Ila lengo ni kutaka kujuzwa juu ya uwekezaji katika soko la hisa.
Naomba kujua faida za hisa zinakuwaje, hasara zake na ni wakati gani muafaka wa kununua na kuziuza ili kupata faida maradufu.
Najua wataalamu wa masuala haya wamo humu maana jf hakushindikani kitu.
Naomba kujua faida za hisa zinakuwaje, hasara zake na ni wakati gani muafaka wa kununua na kuziuza ili kupata faida maradufu.
Najua wataalamu wa masuala haya wamo humu maana jf hakushindikani kitu.