Uwekezaji Bandari Serikali yazidi Kuchanja mbuga.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,653
16,002
Baada ya kupokea maoni mbalimbali ya wananchi na wadau kwa sasa serikali inachofanya ni kuandaa nyaraka mbalimbali za makubaliano na mikataba kama ilivyoshauriwa na kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi hii ili kuanza rasmi zoezi la uboreshwaji mkubwa unatazamiwa kufanyika katika bandari.

Hongera sana Mh. Rasi samia kwa kuwa msikivu na mvumilivu katika kipindi hiki chote cha majadaliano juu ya suala hili.

HAKUNA MWENYE NGUVU WALA UBAVU WA KUUZA NCHI HII.
20230827_075138.jpg
 
Muhimu angelivunja huu mkataba na wala c vinginevyo! Huyu Mama nchi hii imemshinda kabisa, ona mafuta yanavyopaa bei na mwanzoni mwa mwezi yanapanda tena.
 
Watu wanapiga kelele na nyaraka za kuokota vichochoroni na kukaa kuwasikiliza watu walioishiwa hoja za kisiasa mpaka kanisa mama nalo linaingia mkenge bila kufanya utafiti wowote. Nyaraka ndio zinaandaliwa sasa mama piga kazi ya kukuza uchumi wa nchi tunataka kuona Tanzania inabadilika kiuchumi na kusonga mbele zaidi.
 
Watu wanapiga kelele na nyaraka za kuokota vichochoroni na kukaa kuwasikiliza watu walioishiwa hoja za kisiasa mpaka kanisa mama nalo linaingia mkenge bila kufanya utafiti wowote. Nyaraka ndio zinaandaliwa sasa mama piga kazi ya kukuza uchumi wa nchi tunataka kuona Tanzania inabadilika kiuchumi na kusonga mbele zaidi.
kumbe ni hoja za kisiasa sio hoja za msingi!!!
 
Back
Top Bottom