nkismama katika ukweli then lissu has nothing cha maaana kinachotoka kwenye hizo lipstick zake! mbowe na kutkojua kusoma kwake but he has wisdom, mara nyingi sana anakua hakubaliana na magufuli lakini anajua how to present his ideas!
- For lissu kati ya kopo la cdm kuwahi kutokea ndo lissu sasa to the extent hata mwanzilishi wa chadema mwenyewe edwin mtei hakubaliana nae, such a waste for chadema! uchaguzi umepotea kihovyo kabisa