Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,235
- 5,332
Sio nyinyi mtakao teseka mtani? Maana mateso waliyaanzisha maafande na jumamosi yataendelezwa na Zesco unitedMtateseka sana mwaka huu.
#mwakawatabu
Sio nyinyi mtakao teseka mtani? Maana mateso waliyaanzisha maafande na jumamosi yataendelezwa na Zesco unitedMtateseka sana mwaka huu.
Hahahaaa!!! Na bado 💃💃💃Yule wa moto pia bingwa wa nchi mwenye kutetemesha vyura na kuwafanya wakose amani madimbwini mwao, sio mwingine bali ni Simba sc mfalme wa nyika anakipiga kesho dhidi ya wakata miwa.
Sisi hatuna presha Mtani kwani bado tupo tupo sana Kimataifa. Nionavyo tulia hivyo hivyo mpaka 90mns za mechi na Zesco ndio uzungumze. 🤣🤣Sio nyinyi mtakao teseka mtani? Maana mateso waliyaanzisha maafande na jumamosi yataendelezwa na Zesco united
#mwakawatabu
Champions league huu ndio mwezi wako wa mwisho kushiriki, kuanzia mwezi wa kumi utakuwa nje ya mashindano, usijipe moyo huna timu wewe. hahahaHahahaaa!!! Na bado 💃💃💃
Tuishie hapa Mkuu naona umesahau kama hapa tunazungumzia Champions league. Teh teh
Aisee umeongea kinyonge sana kama vile unajua kitakachojiri,Sisi hatuna presha Mtani kwani bado tupo tupo sana Kimataifa. Nionavyo tulia hivyo hivyo mpaka 90mns za mechi na Zesco ndio uzungumze.
We baki kutuombea njaa tu. Mwisho wa siku sisi waleee.✈✈Champions league huu ndio mwezi wako wa mwisho kushiriki, kuanzia mwezi wa kumi utakuwa nje ya mashindano, usijipe moyo huna timu wewe. hahaha
Mimi wakimataifa nanyongeaje sa Mtani.Aisee umeongea kinyonge sana kama vile unajua kitakachojiri,
Nakutakia kila laheri
Kichapo chema.
Tulia kwanza uwe unaangalia unamreply nani, status yako ni new member yaani kama kidagaa unajibishana na mamba. Endelea kujibizana na new members wenzio kwanza then ukikua uanze kujibizana na mtu kama ShadeeyaYule wa moto pia bingwa wa nchi mwenye kutetemesha vyura na kuwafanya wakose amani madimbwini mwao, sio mwingine bali ni Simba sc mfalme wa nyika anakipiga kesho dhidi ya wakata miwa.
Isokee isokee zis izi yua taimu bati rimemba zati ze des izi kamingiMimi wakimataifa nanyongeaje sa Mtani.
"VICE VERSA IS TRUE" Hadi huruma Mtani. No tambo, no du o dai zis taimu, no kwa Mkapa kuwa kaburi yaani kuko kimyaaaaa.
Nimecheka sana hii post yako. 😀😀 waeza kuta ni mkongwe tu ila ana Id mpya ya akiba.Tulia kwanza uwe unaangalia unamreply nani, status yako ni new member yaani kama kidagaa unajibishana na mamba. Endelea kujibizana na new members wenzio kwanza then ukikua uanze kujibizana na mtu kama Shadeeya
Hahahaaa. Iti izi noti badi mtani kwani ikitokea hivyo tunakwenda Shirikisho. Hivyo bado tupotupo sana tu Kimataifa. 😜😜Isokee isokee zis izi yua taimu bati rimemba zati ze des izi kamingi
Kila laheri Simba sc
Kila laheri Zesco united
AiseeeHahahaaa. Iti izi noti badi mtani kwani ikitokea hivyo tunakwenda Shirikisho. Hivyo bado tupotupo sana tu Kimataifa.
Mwaka wenu huu kuhama hama timu Mtani. Na hii imefanya niamini kweli siku zote kila muosha huoshwa. Daah.
Kweli aiseeUtani wa jadi ndio kama huo sasa. Hivyo relax Mkuu.
Kakuchemsha kidogo.
Mashabiki wa Yanga wakiongozwa na Shadeeya nyuso zao zitakuwa kwenye hali hiyo baada ya mchezo wa jumamosi kumalizika. Hahahaa
Mtani usisahau kwamba ukilala mchana kisha ukaota zile nazo pia ni ndoto japo huwa hazina la maana zaidi ya mauza uza tu.Mashabiki wa Yanga wakiongozwa na Shadeeya nyuso zao zitakuwa kwenye hali hiyo baada ya mchezo wa jumamosi kumalizika. Hahahaa
Sio mimi ni mudomo yangu
Yanga hoyeee
Hahahaa navuta picha jinsi ulivyokuwa unaongea mkono ukiwa shavuni, daaahMtani usisahau kwamba ukilala mchana kisha ukaota zile nazo pia ni ndoto japo huwa hazina la maana zaidi ya mauza uza tu.