Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Yusuph bharesa ashatoa maagizo kwa vijakazi wake ole wao waende kinyume;Wamejitoa utawi..inawachezaji wengi wenye mapenz na yanga,hata kocha pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yusuph bharesa ashatoa maagizo kwa vijakazi wake ole wao waende kinyume;Wamejitoa utawi..inawachezaji wengi wenye mapenz na yanga,hata kocha pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sisi tawi letu singida lilitukaba..usivunjike moyoKwa hili uliloandika Mtani ama kweli hawajakosea walio sema mpira wa Tanzania hauwezi endelea.
Hivyo mnajipigia tu leo. Duuh
Hahahaaaa. lol.
Hahaha mtani mmetufanyia fitna na figisu figisu nyingi sana kwa miaka 4 mfululizo iliyopita, kutesa kwa zamu, Toto alishuka daraja ili kukulizisha wewe tu ili uchukue ubingwa."kutesa kwa zamu mtani"Kwa hili uliloandika Mtani ama kweli hawajakosea walio sema mpira wa Tanzania hauwezi endelea.
Hivyo mnajipigia tu leo. Duuh
Swahiba tuwache. 😀😀😀😀Yanga wanapata tabu na ubora wa Simba
Yanga wanasubiri Simba kudondosha points Kama wanasubiri meli airport
"Kila mtu ashinde mechi zake"
Shadeeya
Ndumbula Ndema
Sent using Jamii Forums mobile app
Yusuph bharesa ashatoa maagizo kwa vijakazi wake ole wao waende kinyume;
ASANTE, KUMBE SIMBA BADO ANA NAFASI NZURI
Kwa hali hii niseme tu zile KHAMSA KHAMSA ni halali kabisa.Hahaha mtani mmetufanyia fitna na figisu figisu nyingi sana kwa miaka 4 mfululizo iliyopita, kutesa kwa zamu, Toto alishuka daraja ili kukulizisha wewe tu ili uchukue ubingwa."kutesa kwa zamu mtani"
Huko mkoani sio salama..kuna viwanja kama mashamba ya mpungaASANTE, KUMBE SIMBA BADO ANA NAFASI NZURI
Huu uzi wakishamba sana umeandika pumba endelea kushabikia vibakuli Fc achana na Simba