B bulabo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 628 Reaction score 783 Sep 15, 2022 #1 Uwanja wa sokoine pamoja na TFF kuupitisha lakini huwezi kukokota mpira, mpira hautulia vizuri. Hivi viwanja kero sana. Jana Simba pia Wamestruggle kutokana na viwanja vibovu.
Uwanja wa sokoine pamoja na TFF kuupitisha lakini huwezi kukokota mpira, mpira hautulia vizuri. Hivi viwanja kero sana. Jana Simba pia Wamestruggle kutokana na viwanja vibovu.
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,790 Sep 15, 2022 #2 Uliangalia mechi
denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,487 Reaction score 68,268 Sep 15, 2022 #3 TFF huwa hawana consistency wanapofungia viwanja, mara nyingi maamuzi yao ya kuvifungulia huwa yakukurupuka zaidi ya uhalisia, pitch za viwanja vingi bado ni mbovu.
TFF huwa hawana consistency wanapofungia viwanja, mara nyingi maamuzi yao ya kuvifungulia huwa yakukurupuka zaidi ya uhalisia, pitch za viwanja vingi bado ni mbovu.
G Goguryeo JF-Expert Member Joined May 17, 2019 Posts 3,120 Reaction score 5,873 Sep 15, 2022 #4 Kiwanja mpira unadunda dunda kama nini sijui...