jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,404
- 2,156
Ni sisi mashabiki wa Simba ndo tunanufaika kupata burudani kama hivi..ni mshindano ya kombe gani? mshindi ananufaika na nini
Wewe utopolo endelea kupiga Ramli chonganishi
Ni sisi mashabiki wa Simba ndo tunanufaika kupata burudani kama hivi..ni mshindano ya kombe gani? mshindi ananufaika na nini
hahahaha kombe la timu 3 kombe ama upumbavu yaani bingwa wa kihistoria umshirikishe upuuzi huoSimba Super Cup.
Yanga awatoweza kamwe kushiriki kombe kama ili kwasababu ni mataahira.
Watakwambia wamekuja na ndege ndio lakini awakulala kwa joto la Daruchovu gani wamekuja na bus?
hahaha mbumbumbu huwa mnadanganywa kidogo sana jamaa wamefika jana na uchovu badala mfikirie kupanga timu mnakimbilia kufunga wakat mchezo wa bonanzaNi sisi mashabiki wa Simba ndo tunanufaika kupata burudani kama hivi..
Wewe utopolo endelea kupiga Ramli chonganishi
utopolo huna hadhi ya kubishana na sisi,we uko nafasi ya ngapi CAF? kabishane na kina KMC labda.hahahaha kombe la timu 3 kombe ama upumbavu yaani bingwa wa kihistoria umshirikishe upuuzi huo
hili kombe tff,fifa wanalitambua.
hili sio kombe ni bonanza
ukipanda ndege hupati uchovu we kweli mbumbumbuuchovu gani wamekuja na bus?
Nakutumia vocha DM uunge bando la net kisha uingie kwanye Simba oficial page ukaumie roho vizuri.hahahaha kombe la timu 3 kombe ama upumbavu yaani bingwa wa kihistoria umshirikishe upuuzi huo
hili kombe tff,fifa wanalitambua.
hili sio kombe ni bonanza
Kiiiiifffiiiiroooowwwww cha Unguja umekisahau majuzi tu?Simba Super Cup.
Yanga awatoweza kamwe kushiriki kombe kama ili kwasababu ni mataahira.
Mmechotwa akili na Manara wote mmekuwa Mbu3.Nakutumia vocha DM uunge bando la net kisha uingie kwanye Simba oficial page ukaumie roho vizuri.
Yanga ni vibonde na msaada tunawapa tu,kwani bei gani!!
ulaya wangekuwa na mawazo kama haya ya kujisifia nafasi sidhani kama liva angekuwa anapigwa na bunley alafu anabaki jisifia nna uefa 4 epl 19utopolo huna hadhi ya kubishana na sisi,we uko nafasi ya ngapi CAF? kabishane na kina KMC labda.
Amewaonyesha utopolo busha lakeSi walisema Morrison ana busha sijui nini
yanga vibonde kwa takwimu zipi? nimekutwanga mara kibao pindi tukutanapo vpl naongoza we umenizidi ushindi wa bonanza la leo tuNakutumia vocha DM uunge bando la net kisha uingie kwanye Simba oficial page ukaumie roho vizuri.
Yanga ni vibonde na msaada tunawapa tu,kwani bei gani!!
Ombeni basi na Nyinyi nafasi ya viti maalum kwenye haya mashindano muone cha moto!!Mmechotwa akili na Manara wote mmekuwa Mbu3.
Daah huyu Tshabalala ni hatari sana huyu daah
Natamani sana kuona performance ya David Kameta leo huyu kijana ni hazina kubwa mrithi halali wa Kapombe
ulaya umeingiaje hapa,jibu swali mko nafasi ya ngapi CAF. mara ya mwisho kuchukua kombe VPL na FA ilikuwa lini?ulaya wangekuwa na mawazo kama haya ya kujisifia nafasi sidhani kama liva angekuwa anapigwa na bunley alafu anabaki jisifia nna uefa 4 epl 19
we nimekupiga mara kibao hata ukiwa namba 1 fifa haiondo ukweli kwangu unabaki paka tu
Halafu Simba hizo 4g awe anawapiga utopolo akiwa anawqfunga hawq wageni baadae watqkuwa wanaogopq kuja kwenye super cupDuh,basi inatosha.
Simba wasifanye huu mchezo kama basketball.
Usikumbushe mambo ya yaliyopita autatamani kuyakumbuka,goli tano bado ni kidonda kibichi kwenu Uto.yanga vibonde kwa takwimu zipi? nimekutwanga mara kibao pindi tukutanapo vpl naongoza we umenizidi ushindi wa bonanza la leo tu