kwa sasa namba za uwakala hawatoi tena cha kufanya tafuta mtu ambaye ameshindwa kufanya biashara hiyo akuuzie namba hizo.Ila lazima uwe na TIN NUMBER na LESENI YA BIASHARA.Kama namba ya tigo pesa ndio iko bei mbaya c chini ya laki 5!!!na biashara yenyewe hiyo kwa sasa ni pasua kichwa kweli,kwani wana bana sana kwenye kamisheni.Jamani naitaji kuwa wakala mpesa tigo pesa naomba maelezo yenu jinsi yakupata no
Kwanini ni Pasua kichwa? Ugumu upo wapi hasa?kAKA BIASHARA YA TIGO PESA NI PASUA KICHWA SANA LABDA UKIWA NA MTAJI MKUBWA NA SEHEMU ULIYOFUNGULIA KUNA MAWAKAWA UCHWALA UNAWEZA FANYA BIASHARA
Kwanini Tigo hawatoi tena namba za uwakala? Kwanini Line ya Tigo-Pesa iwe ghali zaidi? Kwani line ya M-Pesa na Airtel Money inauzwa kiasi gani?kwa sasa namba za uwakala hawatoi tena cha kufanya tafuta mtu ambaye ameshindwa kufanya biashara hiyo akuuzie namba hizo.Ila lazima uwe na TIN NUMBER na LESENI YA BIASHARA.Kama namba ya tigo pesa ndio iko bei mbaya c chini ya laki 5!!!na biashara yenyewe hiyo kwa sasa ni pasua kichwa kweli,kwani wana bana sana kwenye kamisheni.
Kamisheni za tigo ni kubwa inategemea na eneo unalofanyia biashara,kama mzunguko ni mkubwa unapata commission kubwa.mimi ninazo line zote yan tigo.mpesa na airtel kama unashida nayo nikuuzie.
Jamani naitaji kuwa wakala mpesa tigo pesa naomba maelezo yenu jinsi yakupata no